Mangi Meno
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 366
- 1,109
Na baada ya Taifa la Poland kutangaza kupiga marufuku kujengwa kwa Misikiti "Mosques" ,Na kupinga kupiga adhana basi nchi nyingi za Ulaya zimeanza kufuata nyayo hizo.
Na nchi kama Uingereza watu zaidi ya 100,000 waliandamana pale London, Ili kupinga uwepo wa imani hio kwenye Taifa hilo, hio yote ni kwa sababu nchi za Ulaya zinataka kuyarudia hayo maisha hapo chini .Yani kuirudisha nuru ya Ulaya na sio kuingiza tamaduni mpya zikaiharibu
Na kwa agenda walizoweka ni wazi watafanikiwa juu ya hilo. Kwa maana juzi tuu kule Ulaya kuna ambao walipigwa risasi kwa kusujudu barabarani na kuleta msongamano
Na naona kauli za Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alipowaonya juu ya ongezeko hilo .Sasa wamegundua zina ukweli ndani yake na nia njema Naaam
Soma pia Uislamu wa Itikadi Kali: Somo la Ulaya, Unafiki wa Kimfumo, na Onyo kwa Marekani
Na nchi kama Uingereza watu zaidi ya 100,000 waliandamana pale London, Ili kupinga uwepo wa imani hio kwenye Taifa hilo, hio yote ni kwa sababu nchi za Ulaya zinataka kuyarudia hayo maisha hapo chini .Yani kuirudisha nuru ya Ulaya na sio kuingiza tamaduni mpya zikaiharibu
Na kwa agenda walizoweka ni wazi watafanikiwa juu ya hilo. Kwa maana juzi tuu kule Ulaya kuna ambao walipigwa risasi kwa kusujudu barabarani na kuleta msongamano
Na naona kauli za Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alipowaonya juu ya ongezeko hilo .Sasa wamegundua zina ukweli ndani yake na nia njema Naaam
Soma pia Uislamu wa Itikadi Kali: Somo la Ulaya, Unafiki wa Kimfumo, na Onyo kwa Marekani