BABU KIDUDE
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,587
- 918
Tanganyika hipo sema imemezwa na Zanzibar, na uhuru wake hilipewa dec 1961 bendera kupandishwa M.l.
kilimanjalo
kilimanjalo
Sio nchi,ilikufa tokea tarehe 26,april 1964.
Sasa fursa ipo,ya kuweza kuifufua kama wabunge wa bunge la katiba wakikubaliana.
Hebu tuwekeni sawa ,hivi Tanganyika ni nchi au si Nchi ? Isije kuwa Zanzibar wanapiga mekelele wakati wenyeji hawaelewi hata Tanganyika ni kitu gani !
Ni nchi, haijawai kufa toka izaliwe 1886
Rais wa nchi hiyo (Tanganyika) ni nani?
Ni mhishimiwa saana Jakaya Mrisho Kikwete. Ila yeye anajinasibu kuwa ni rais wa Tanganyika na Tanzania. Lakini havuki maji kwenda Zenj bila ruhusa ya Dr. Shein.
Kama unabisha, mwambie huyo mtoto wa mkulima aende Zenj Hapokelewi hata na Sheha. Kiini macho ndo kazi yao. Tnaganyika has never died and will never die. Labda Dr. Shein aivue Zanziba utaifa wake. Wameamsha jibwa lililo lala kazi kwao sasa
Tanganyika limebakia ziwa tu pale Kigoma ,wenye Tanganyika wamelala huku Zanzibar akitumia Methali isemayo Aliyelala usimwamshe Wametumia Fursa hiyo kuvunja katiba kufanya watakavyo ! Hivyo Kama Tanganyika ni Nchi basi itakuwa ni Nchi iliyozubaa sana tena saaana kwani Zanzibar wameweza kukwepa Gharama za kuhudumia Muungano kwa Miaka 47 bila shinikizo lolote toka Tanganyika ! Huku Pia wakitumia pesa nyingi kuubembeleza muungano.Ni mhishimiwa saana Jakaya Mrisho Kikwete. Ila yeye anajinasibu kuwa ni rais wa Tanganyika na Tanzania. Lakini havuki maji kwenda Zenj bila ruhusa ya Dr. Shein.
Kama unabisha, mwambie huyo mtoto wa mkulima aende Zenj Hapokelewi hata na Sheha. Kiini macho ndo kazi yao. Tnaganyika has never died and will never die. Labda Dr. Shein aivue Zanziba utaifa wake. Wameamsha jibwa lililo lala kazi kwao sasa
Ni nchi ila haina wananchi waelevu wengi ni mburula wanaibiwa kila kitu huku wameka kimya hata ziwa nyasa linataka kuibiwa
Sio nchi,ilikufa tokea tarehe 26,april 1964.
Sasa fursa ipo,ya kuweza kuifufua kama wabunge wa bunge la katiba wakikubaliana.
Tanganyika hipo sema imemezwa na Zanzibar, na uhuru wake hilipewa dec 1961 bendera kupandishwa M.l.
kilimanjalo
Hebu tuwekeni sawa ,hivi Tanganyika ni nchi au si Nchi ? Isije kuwa Zanzibar wanapiga mekelele wakati wenyeji hawaelewi hata Tanganyika ni kitu gani !
Kama ni Nchi basi itakuwa ni Nchi iliyozubaa saaana ! Maana Zanzibar waliweza kukwepa Garama za muungano kwa Miaka 47 pasipo kushitukiwa na bado Tanganyika inawanyenyekea sana inatumia pesa nyingi kubembeleza muungano Tanganyika ni Nchi iliyolala.
Hisa za Zanzibar kwenye iliyokuwa Bodi ya Sarafu ya Afrika Mashariki ndizo zilizotumika kuendeshea Muungano! Sasa aliyelala nani hapo?
Hebu tuwekeni sawa ,hivi Tanganyika ni nchi au si Nchi ? Isije kuwa Zanzibar wanapiga mekelele wakati wenyeji hawaelewi hata Tanganyika ni kitu gani !
Cross multiplication:
JMT ni Muungano wa nchi mbili, i.e, Tanganyika na Zanzibar. Likewise, ikiwa Zanzibar ni nchi, na Tanganyika ni nchi pia. Therefore, Tanganyika ni NCHI.
Hence PROVED.
Ni nchi, haijawai kufa toka izaliwe 1886