Nchi yetu inaitwa Tanganyika

Nchi yetu inaitwa Tanganyika

Ukimuona Mtu anautukuza Utanganyika ujue mtu huyo ni Shetani, Shetani siku zote huhubili utengano, umimi, uwao. Hutenganisha watu ambao wanapenda umoja. Jitengeni nao watu wa jinsi hiyo.
MUNGU mwenyewe aliwatenga , kuwabeba na kuwapendelea waisraeli
Dhidi ya wengine atakuwa shetani
 
kujiita Mtanzania maana yake wewe ni mtanganyika+mzanzibar,Tanzania ni muungano wa nchi mbili au ndoa ya nchi mbili(ikawa mwili mmoja) ndizo zikamzaa mtanzania,wazazi wangu wote wana asili ya Tanganyika hivyo mimi ni Mtanganyika ila sina ubaguzi,kujiita mtanganyika sio ishara ya ubaguzi,mbona mtu anajiita mzigua na anaoa mbondei.Tanganyika nakuita popote ulipo urudi,nimekumisi sana Baba,ingawa walikuzika ila Mungu amekufufua,ameeenii!!
 
Wanajamvi kweli nimekubali ccm ina waburuza watu hasa watanganyika,nipo hapa leaders naona msaanii Linah ameingia na wimbo wake,naipendaa nchi yangu tanzaniaa hello hello tanzania,kilichompata ni kuzomewa na watu kumpa buuu buuuu,yaani nikaona kweli watu hawafagilii ujinga sasa,rudi tanganyika nawasilisha.
 
Tanganyika itasaidia nini? Ni jina tu ambalo halibadilishi chochote. Nchi ile ile, watu wale wale.
 
ukiona hadi wasela wanafanya hivyo basi ujue ukombozi uko mlango wa pili .
 
Tanganyika Kwanza Mengine Baadaye


We dada umezaliwa baada ya 1964 Tanganyika umeijulia wapi??

Huna hata miaka 30 halafu unataka Tanganyika hovyo Sana akili za kushikiwa hizi.....
 
Ichukue basi unataka nani akuletee.

Utake usitake Tanganyika lazima irudi,najua vibaraka wa magamba hampendi irudi kwa hofu ya kukosa fursa za kunufaika na mfumo huu mbovu wa muungano unaowapa mianya ya kuiba na kufanya ufisadi! TANGANYIKA NDIO NCHI YETU YA ASILI
 
We dada umezaliwa baada ya 1964 Tanganyika umeijulia wapi??

Huna hata miaka 30 halafu unataka Tanganyika hovyo Sana akili za kushikiwa hizi.....

Naona unaitafuta laana kwa nguvu,hebu muulize mama yako kuwa mimi ni nani? Kama humjui hata baba yako,utajua faida za kuwepo Tanganyika kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom