David webb
Senior Member
- Nov 20, 2011
- 159
- 84
Habari zilizopo hivi sasa ni kuhusu mji wa TANGA kuwa ndio utakuwa mji wa kwanza kujengwa machinjio rasmi ya NGURUWE? madiwani wote wameshasaini, amebaki MEYA nae hana namna atasaini.Project proposal na Action plan viko tayari,Hapo ndipo tulikofikishwa.
Lakini angalau itasaidia kuwapa ajira vijana wetu na itakuza uchumi wa TANGA na jamaa zetu watapata pesa za kuezeka mabati kwenye nyumba zao badala ya makuti.
"UTAIFA KWANZA UDINI HAUNA MPANGO"
Lakini angalau itasaidia kuwapa ajira vijana wetu na itakuza uchumi wa TANGA na jamaa zetu watapata pesa za kuezeka mabati kwenye nyumba zao badala ya makuti.
"UTAIFA KWANZA UDINI HAUNA MPANGO"