Joblee
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 1,470
- 1,586
Miezi zaidi ya miwili sasa umeme Siku moja upo inayofua haupo hususan mda wa mchana
Kwa mwezi mmoja tunapata umeme siku 14
Viwanda huwa vinachakata raw materials ili kupata bidhaa mwisho..
Kuna ndugu zangu wa welding nao no viwanda pia.. Nasema hivi kwa kuwa huenda kwenye viwanda vikubwa hamkati.. Fikiria kinyozi
Bado Mkulu anataka VAT mpaka kwenye vocha...
Natamani Dunia isimame nishuke...
Kwa mwezi mmoja tunapata umeme siku 14
Viwanda huwa vinachakata raw materials ili kupata bidhaa mwisho..
Kuna ndugu zangu wa welding nao no viwanda pia.. Nasema hivi kwa kuwa huenda kwenye viwanda vikubwa hamkati.. Fikiria kinyozi
Bado Mkulu anataka VAT mpaka kwenye vocha...
Natamani Dunia isimame nishuke...