COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,599
- 3,647
63% (watu 61,631) ya raia 97,625 wa ushelisheli wameshapata dozi mbili (Fully vaccinated) ya chanjo ya covid-19, lakini hali ya maambukizi imekuwa mbaya sana kiasi kwamba serikali imeamua kufunga, shule, kuweka lock downs na masharti mengine makali ya kujikinga na corona.
Zaidi soma hapa: The Seychelles is the most vaccinated nation on Earth. But Covid has surged
Zaidi soma hapa: The Seychelles is the most vaccinated nation on Earth. But Covid has surged