MIAMIA.
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 210
- 81
NCHI TATU TOFAUTI ZINAONGOZWA NA CHAMA KIMOJA CHA SIASA!...Hii inakaaje?
- Tanganyika (Tanzania Barani)
- Zanzibar (Tanzania Visiwani)
- Tanzania Jamhuri (Shirkisho).............kama atumdangi mtu,tunajidanganya wenyewe-NAFAHAMU NAEZA PAYUKA JUU YA HILI LAKINI KAMA MAGENIUS WAMESHAAMUA,NA ITAKUWA HIVYO;LAKINI PAMOJA NA KUWA HIVYO;HII NI NADHARIA YA MAGENIUS WA KIJAMHURI...JAMHURI YA HADIDHI ZA SIKAMONA.Mungu BARIKI MASALIA,NAMI NIKIWEMO.