wabaguzi sana kama walivyokuwa baadhi ya wabra wabaguzi wanakata oic na mahakama ya kadhi
Asante sana malaria sugu
wabaguzi sana kama walivyokuwa baadhi ya wabra wabaguzi wanakata oic na mahakama ya kadhi
Mimi ni mtu wa peace.
Mtu wa amani na utulivu.
Wala sina adui na mtu, ila waache kutumia kigezo cha nchi kuongozwa na rais muislamu kuwa 'chambo' cha kutekeleza ndoto zao za linacha za kuitawala dunia.
mi i tatizo langu si kuwapo mkistro au muislam,ila nataka kama wao wanavyopewa nyeo huku bara,basi na watu wa bara pia wapewe vyeo kwenye serikali ya zanzibar,ndo nitaona fair,beyond hapo tutakuwa tunalea watu wa tifa lingne pasipo wao kutujali-ambao huo ni ujingaDr. Mwinyi
Vuai Nahodha
Shein
Maalim Seif
Bilal
SMZ HAKUNA mkristo hata mmoja!!!!
Hapa tena mtasema Yerusalem ni mdini.
Duh, nyie kweli noma.
Watu tusiseme ukweli?
Una kitambulisho cha ukaazi..........???mi i tatizo langu si kuwapo mkistro au muislam,ila nataka kama wao wanavyopewa nyeo huku bara,basi na watu wa bara pia wapewe vyeo kwenye serikali ya zanzibar,ndo nitaona fair,beyond hapo tutakuwa tunalea watu wa tifa lingne pasipo wao kutujali-ambao huo ni ujinga
Una kitambulisho cha ukaazi..........???
kama tanganyika wanatoa vitambulisho vya ukaazi-basi nitaomba nipewe-because its where i belongUna kitambulisho cha ukaazi..........???
QUOTE=Malaria Sugu; wanakata oic
OIC kitu gani bwana! Badala ya kufikiri namna ya kutumia vyema rasilimali tulizo nazo. Nyie mnafikiri kupewa pesa za bure. Mtabaki masikini hadi akhera!
Kwani nchi ikiongozwa na wakristu au wa Tanzania bara ndo hukatiwi umeme? ndo richmond inayeyuka? ndo unapata katiba mpya? ndo rushwa inafutika? tatizo langu si nani anaongoza, kama ingerusuhu na ningekuwa na uwezo ningemuajiri Kagame awe rais wetu baada ya mkwere kuondoka japo kwa miaka mi5. kudai kiongozi wa kabila lako, au dini yako ni kufirisika kimawazo.
Ni sawa na wapuuzi wanaotuambia CHADEMA ni chama cha wachaga kisa Mbowe ni mchaga, hao ni mufilisi wa mawazo. unachopaswa kuangalia ni uwezo wa akina Shein, Vuai na Bilal, are they corrupt?
unataka kuniambia nchi ingeongozwa na EL, Chenge, Hosea nk ungefurahi kwa kuwa ni wakristu? ni sawa na watu wanaowashambulia wapinzani wa chadema kwa kuwaita waislamu, mara Madrasa al sul mara what, inatuuma baadhi yetu ambao ni waislamu
mimi ni muislamu safi na mfuasi wa chadema na mara zote nimesema kama Zitto kimeo apigwe chini maana tunataka kiongozi msafi, mwajibikaji na makini hata kama wote wakiwa ni wahindu who cares, mufilisi wa mawazo tuu ndiyo wanaleta mambo ya yule wa kabila letu, yule wa dini yetu badala ya kuangalia uwezo.
sometime fikiri kabla ya kukurupuka kuja na threads za kipuuzi hapa
Kwani nchi ikiongozwa na wakristu au wa Tanzania bara ndo hukatiwi umeme? ndo richmond inayeyuka? ndo unapata katiba mpya? ndo rushwa inafutika? tatizo langu si nani anaongoza, kama ingerusuhu na ningekuwa na uwezo ningemuajiri Kagame awe rais wetu baada ya mkwere kuondoka japo kwa miaka mi5. kudai kiongozi wa kabila lako, au dini yako ni kufirisika kimawazo.
Ni sawa na wapuuzi wanaotuambia CHADEMA ni chama cha wachaga kisa Mbowe ni mchaga, hao ni mufilisi wa mawazo. unachopaswa kuangalia ni uwezo wa akina Shein, Vuai na Bilal, are they corrupt?
unataka kuniambia nchi ingeongozwa na EL, Chenge, Hosea nk ungefurahi kwa kuwa ni wakristu? ni sawa na watu wanaowashambulia wapinzani wa chadema kwa kuwaita waislamu, mara Madrasa al sul mara what, inatuuma baadhi yetu ambao ni waislamu
mimi ni muislamu safi na mfuasi wa chadema na mara zote nimesema kama Zitto kimeo apigwe chini maana tunataka kiongozi msafi, mwajibikaji na makini hata kama wote wakiwa ni wahindu who cares, mufilisi wa mawazo tuu ndiyo wanaleta mambo ya yule wa kabila letu, yule wa dini yetu badala ya kuangalia uwezo.
sometime fikiri kabla ya kukurupuka kuja na threads za kipuuzi hapa
dr. Mwinyi
vuai nahodha
shein
maalim seif
bilal
smz hakuna mkristo hata mmoja!!!!
hapa tena mtasema yerusalem ni mdini.
Duh, nyie kweli noma.
Watu tusiseme ukweli?
Kwani nchi ikiongozwa na wakristu au wa Tanzania bara ndo hukatiwi umeme? ndo richmond inayeyuka? ndo unapata katiba mpya? ndo rushwa inafutika? tatizo langu si nani anaongoza, kama ingerusuhu na ningekuwa na uwezo ningemuajiri Kagame awe rais wetu baada ya mkwere kuondoka japo kwa miaka mi5. kudai kiongozi wa kabila lako, au dini yako ni kufirisika kimawazo.
Ni sawa na wapuuzi wanaotuambia CHADEMA ni chama cha wachaga kisa Mbowe ni mchaga, hao ni mufilisi wa mawazo. unachopaswa kuangalia ni uwezo wa akina Shein, Vuai na Bilal, are they corrupt?
unataka kuniambia nchi ingeongozwa na EL, Chenge, Hosea nk ungefurahi kwa kuwa ni wakristu? ni sawa na watu wanaowashambulia wapinzani wa chadema kwa kuwaita waislamu, mara Madrasa al sul mara what, inatuuma baadhi yetu ambao ni waislamu
mimi ni muislamu safi na mfuasi wa chadema na mara zote nimesema kama Zitto kimeo apigwe chini maana tunataka kiongozi msafi, mwajibikaji na makini hata kama wote wakiwa ni wahindu who cares, mufilisi wa mawazo tuu ndiyo wanaleta mambo ya yule wa kabila letu, yule wa dini yetu badala ya kuangalia uwezo.
sometime fikiri kabla ya kukurupuka kuja na threads za kipuuzi hapa
Jerusalemu, hakuna wa kukusema mdini. Wakristo Zanzibar ni asilimia 0.01%. Waislamu 99.9%.
Kitendo cha kuwepo Wakristo zaidi ya watatu kwenye Baraza La Mapinduzi, Edington Kisasi, Isaack Sepeku na Brigedia General Mwakanjuki, ni more than 0.01%, hivyo ni more than enough