Huwa naupenda sana ule msemo maarufu hapa jf...Aseme huyo kiazi kwani miye muhogo nikisema naambiwa nina mzizi.Mheshimiwa Mwenyekiti, siku hizi kuna hili jambo la wananchi wenye hasira. Sehemu nyingi sana ukienda Kariakoo wanasema akikusingizia mtu kwamba wewe ni mwizi, umekufa, kwa sababu kinachotokea ni kwamba mtu anachukua jiwe, chochote alichonacho anakupiga, baadaye ndiyo anasema oooh, ilikuwa makosa, lakini wakati huo tayari umevunjika mguu au umekufa na hili tatizo la wananchi wenye hasira limeendelea kuongezeka kutoka miji mikubwa hadi miji midogo," alisema.
Alisema ili kupunguza wimbi la hasira za wananchi, kuna mambo mawili ambayo serikali inapaswa kufanya, nayo ni kusimamia haki na wajibu.
ccm lazima iwepo ili uwepo upinzani tanzania.
waache wana ccm wachukue hatua za kufanya mabadiliko ndani ya chama......kwa sababu najua hiyo ndio faida kwa mwananchi, na sio upinzani ambao utagonga ukuta kwa ccm na kumzidishia dhuluma mwananchi wa chini.
Now I have confirmed the CHADEMAs Tundu Lissu and Mnyikas doubts that this committee was formed just to dilute public discussion on mining sector and absorb Zittos shock. It was a consensus between the investors (read: thieves) and the gate keeper (read: the collaborator), President Jakaya Kikwete. The CHADEMAs had warned us, that the issue is not forming another committee, what is lacking is the political will to implement the recommendations that had already been give by an endless list of other committees formed for similar purpose. So it was another waste of tax payers money (how much this time?) and recommendations given a just like those of the Masha Committee formed merely 2006. But now we have known who the washika mapembe are and who are the wakamua maziwa. Let us find a undertaker, JK is in the loop..
Asha
Now I have confirmed the CHADEMA's Tundu Lissu and Mnyika's doubts that this committee was formed just to dilute public discussion on mining sector and absorb Zitto's shock. It was a consensus between the investors (read: thieves) and the gate keeper (read: the collaborator), President Jakaya Kikwete. The CHADEMA's had warned us, that the issue is not forming another committee, what is lacking is the political will to implement the recommendations that had already been give by an endless list of other committee's formed for similar purpose. So it was another waste of tax payers money (how much this time?) and recommendations given a just like those of the Masha Committee formed merely 2006. But now we have known who the washika mapembe are and who are the wakamua maziwa. Let us find a undertaker, JK is in the loop..
Asha
Eeeh bwana weee! sasa picha wazi kabisa ktk kila nachokiita siku zote Bongo connection!...Kama Waziri wa Maji, Nishati na Madini, Mheshimiwa Kikwete alishiriki moja kwa moja katika kusaini mikataba mibovu ya madini na makampuni ya madini ya kimataifa ambayo kwayo taifa limeendelea kupoteza utajiri mkubwa na kuinyima Serikali uwezo wa kifedha wa kuhudumia wananchi. Kwa mfano, mnamo tarehe 10 Aprili 1990, Major Jakaya Mrisho Kikwete aliingia mkataba wa madini ya kampuni ya SAMAX Limited ambapo kampuni hiyo ilipewa leseni ya kuchimba dhahabu katika eneo la Lusu, Wilayani Nzega Mkoa wa Tabora
2010 ikaja...Wa kujilaumu ni sisi wenyewe, si akina Sinclair kama alivyosema mjumbe hapo juu. Wakati kila kona ya dunia wananchi wanahakikisha wanachagua the best sons and daughters to run their countries, sisi tumeamua kuchagua watu wenye ujuzi wa ujanjaujanja na uswahili ambao sasa akina Sinclair ndio wamewaweka mfukoni. Tusikate tamaa, tuendelee kupiganisha fikra, ipo siku kitaeleweka.
Mkandara said:Wanabodi,
Maneno haya ya Sinclair ni mazito sana na kama nchi huru nadhani Kikwete kwa mara ya kwanza ametoa mwanga wa kuwa impeached..
Mama alisema ukweli mtupu,je tumejifunza?Huko sisiemu kuna mamr and ms misifa! ukifanya ufisadi mkubwa ndio unaonekana, mjanja, jasiri, mtoto wa mjini, msomi, n.k. Ukiwa msafi hata rafiki utakosa. Na misifa ndio inawafanya watu wanafanya ufisadi wa kupindukia, utasikia jamaa bwana anaendesha gari ya millioni 500, nyumba yake millioni 600 anaonekana wa maana na watu kuanza kujikomba bila kuuliza hizo pesa kazipataje. This has to end jamani, but the main question remains, how to end it kama bado vijijini wanawapigia makofi mafisadi?