Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Naona This Day is picking up our cue!
Janejo,
Sitaki kuondoka kwenye mada, nataka kuelezea hali halisi mara moja halafu turudi kwenye mada.
Naelewa umuhimu wa Kiswahili na hadhira yake.Lakini katika ulimwengu wa sasa wa utandawazi, ambao kama alivyosema Al-Ustaadh Al-Hadj Ali Hassan Mwinyi kwamba "Kiingereza ni Kiswahili cha dunia" tukitaka kuenda popote kwa mafanikio inabidi tujifunze kiingereza.
Sasa kama tunataka kuwaandikia hawa Wamarekani na WaCanada wasiojua Kiswahili kwenye "The New York Times" na "Wall Street Journal" wanakoweza kumsuta huyo mwenzao Sinclair tutaandika Kiswahili kweli?
Mimi ni Mtanzania ninayekipenda Kiswahili, lakini nakubaliana ma Mzee Mwinyi kwamba kuna haja ya kujifunza kiingereza zaidi ili tusiachwe.
He is not talking too fast, some of us are listening too slow.
Unaweza ukaandika kwa lugha yetu ya kiswahili ili wasomaji tuweze kuelewa vizuri unachokiongelea.
Janejo,
Sitaki kuondoka kwenye mada, nataka kuelezea hali halisi mara moja halafu turudi kwenye mada.
Naelewa umuhimu wa Kiswahili na hadhira yake.Lakini katika ulimwengu wa sasa wa utandawazi, ambao kama alivyosema Al-Ustaadh Al-Hadj Ali Hassan Mwinyi kwamba "Kiingereza ni Kiswahili cha dunia" tukitaka kuenda popote kwa mafanikio inabidi tujifunze kiingereza.
Sasa kama tunataka kuwaandikia hawa Wamarekani na WaCanada wasiojua Kiswahili kwenye "The New York Times" na "Wall Street Journal" wanakoweza kumsuta huyo mwenzao Sinclair tutaandika Kiswahili kweli?
Mimi ni Mtanzania ninayekipenda Kiswahili, lakini nakubaliana ma Mzee Mwinyi kwamba kuna haja ya kujifunza kiingereza zaidi ili tusiachwe.
He is not talking too fast, some of us are listening too slow.