Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,999
Kila kona mitaa imelipuka hasa ile ya Jf , Ila huko uraiani kumepoa sana. Huu ni moja Kati ya uchaguzi uliokosa amshaamsha, hauwezi kuufananinisha hata kidogo na ule wa 2015.
Raia mitaani hawana kabisa pressure, wao wanaosubiri tu siku ifike wakamrudishe rais wao madarakani.
Raia mitaani hawana kabisa pressure, wao wanaosubiri tu siku ifike wakamrudishe rais wao madarakani.