Kama nchi tungeiweka rehani kwa Lissu ingekuwaje?

Wimbo

JF-Expert Member
Oct 23, 2012
783
525
Hotuba ya Dr Samia jana imenipeleka mbali sana kutafakari kama tungefanya makosa tukaikabidhi nchi kwa Lisu ingekuwaje.

Samia wewe ni Muungwana nimekuelewa vizuri, sisi ambao tumepata bahati ya kuziona nyakati zote za uongozi wa Nchi hii tunauona mzigo mkubwa uliojitwisha wa kuiongoza Nchi yenye watu zaidi ya million 60.

Baba Nyerere alianza na milion 9 tu akaiweka misingi changamoto zilikuwepo lakini sasa ni zaidi. sina hakika kama kwa changamoto za sasa za watu wataishije, watoto wa Taifa watasomaje, nchi italindwaje, miundombinu itatunzwaje matishio ya majanga nk.

Mama unastahili maombezi, na kila nikipiga goti kumsihi Mungu wewe utakuwa wa kwanza. Mama tulindie amani yetu.
 
Hakika Rais Samia anastahili pongezi na kuungwa mkono na kila Mtanzania mzalendo na mwenye mapenzi mema na Taifa letu. Rais Samia anapambana sana katika kuhakikisha kuwa watanzania Tunaishi maisha mazuri na bora sana na kila siku inakuwa yenye matumaini makubwa na bora kuliko jana.
 
Hakuna Utafiti Mgumu kama Kuwatafiti Watanzania Wanataka Nini . Research utaishia kuighairisha tu . Sisi Watanzania hatueleweki kabisa . YAANI NI BENDERA FUATA UPEPO .
 
Muachage kukuza propaganda za kisiasa, Lissu ni mwanasiasa kama walivyo wengine. Muwe mnajibu hoja zake acheni kulialia na kuchamba watu. Mnashindwa kujibu hoja zake mnakimbilia kutoa mapovu mengi
 
Kama Taifa tungepata bahati kuongozwa na Lissu ambaye ni intelligent anayejua kusoma na kuchambua issues, sio huyo mswahili wako anadanganywa kizembe na genge la wahuni waliomzunguka!.
Mama ye anaambiwa tu saini hapa, naye anasaini bila kujua kilichomo ndani...sawa na mwanakijiji fulani aliyekuja mjini kufungua account ya bank!!!.
 
Hotuba ya Dr Samia jana imenipeleka mbali sana kutafakari kama tungefanya makosa tukaikabidhi nchi kwa Lisu ingekuwaje.

Samia wewe ni Muungwana nimekuelewa vizuri, sisi ambao tumepata bahati ya kuziona nyakati zote za uongozi wa Nchi hii tunauona mzigo mkubwa uliojitwisha wa kuiongoza Nchi yenye watu zaidi ya million 60.

Baba Nyerere alianza na milion 9 tu akaiweka misingi changamoto zilikuwepo lakini sasa ni zaidi. sina hakika kama kwa changamoto za sasa za watu wataishije, watoto wa Taifa watasomaje, nchi italindwaje, miundombinu itatunzwaje matishio ya majanga nk.

Mama unastahili maombezi, na kila nikipiga goti kumsihi Mungu wewe utakuwa wa kwanza. Mama tulindie amani yetu.
Mkoana bora kumuibia kura zake
 
Hotuba ya Dr Samia jana imenipeleka mbali sana kutafakari kama tungefanya makosa tukaikabidhi nchi kwa Lisu ingekuwaje.

Samia wewe ni Muungwana nimekuelewa vizuri, sisi ambao tumepata bahati ya kuziona nyakati zote za uongozi wa Nchi hii tunauona mzigo mkubwa uliojitwisha wa kuiongoza Nchi yenye watu zaidi ya million 60.

Baba Nyerere alianza na milion 9 tu akaiweka misingi changamoto zilikuwepo lakini sasa ni zaidi. sina hakika kama kwa changamoto za sasa za watu wataishije, watoto wa Taifa watasomaje, nchi italindwaje, miundombinu itatunzwaje matishio ya majanga nk.

Mama unastahili maombezi, na kila nikipiga goti kumsihi Mungu wewe utakuwa wa kwanza. Mama tulindie amani yetu.
Angekuwa keshavuruga Kila kitu kama Mwenzie Jiwe
 
Hotuba ya Dr Samia jana imenipeleka mbali sana kutafakari kama tungefanya makosa tukaikabidhi nchi kwa Lisu ingekuwaje.

Samia wewe ni Muungwana nimekuelewa vizuri, sisi ambao tumepata bahati ya kuziona nyakati zote za uongozi wa Nchi hii tunauona mzigo mkubwa uliojitwisha wa kuiongoza Nchi yenye watu zaidi ya million 60.

Baba Nyerere alianza na milion 9 tu akaiweka misingi changamoto zilikuwepo lakini sasa ni zaidi. sina hakika kama kwa changamoto za sasa za watu wataishije, watoto wa Taifa watasomaje, nchi italindwaje, miundombinu itatunzwaje matishio ya majanga nk.

Mama unastahili maombezi, na kila nikipiga goti kumsihi Mungu wewe utakuwa wa kwanza. Mama tulindie amani yetu.
FB_IMG_1694452675771.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hotuba ya Dr Samia jana imenipeleka mbali sana kutafakari kama tungefanya makosa tukaikabidhi nchi kwa Lisu ingekuwaje.

Samia wewe ni Muungwana nimekuelewa vizuri, sisi ambao tumepata bahati ya kuziona nyakati zote za uongozi wa Nchi hii tunauona mzigo mkubwa uliojitwisha wa kuiongoza Nchi yenye watu zaidi ya million 60.

Baba Nyerere alianza na milion 9 tu akaiweka misingi changamoto zilikuwepo lakini sasa ni zaidi. sina hakika kama kwa changamoto za sasa za watu wataishije, watoto wa Taifa watasomaje, nchi italindwaje, miundombinu itatunzwaje matishio ya majanga nk.

Mama unastahili maombezi, na kila nikipiga goti kumsihi Mungu wewe utakuwa wa kwanza. Mama tulindie amani yetu.
How do you know kwamba kama Lissu angepewa nchi ingewekwa rehani? Hiyo 'fore knowledge' umeipta kwa njia gani: telepathy, intuition, vision au kubuni tu akilini?
 
Muachage kukuza propaganda za kisiasa, Lissu ni mwanasiasa kama walivyo wengine. Muwe mnajibu hoja zake acheni kulialia na kuchamba watu. Mnashindwa kujibu hoja zake mnakimbilia kutoa mapovu mengi
Ndio Mwiba wa CCM wanataka muanzishia propagana. Wakati wananchi wanamkubali.. Wameona wamasai wanaita Lisu wanaona balaa sasa bora kuanza kumchafua... ! Goshiiii
 
Maisha mazuri Unaenda Hospital unaambiwa ukanunue Dawa kwa sababu Dawa hakuna?

Maisha mazuri wakati tunaenda mwezi wa pila hakuna umeme ni mgao nchi nzima na SERIKALI imenyamaza kimya.

Maisha mazuri rushwa imerudi kila Kona haki za wanyonge hakuna tena watu tunaisha kwa neematu ya Mungu.

Nyie endeleeni kusifia na walio wengi watamlilia Mungu wao Naye hata nyamaza Atatenda jambo.
 
Hotuba ya Dr Samia jana imenipeleka mbali sana kutafakari kama tungefanya makosa tukaikabidhi nchi kwa Lisu ingekuwaje.

Samia wewe ni Muungwana nimekuelewa vizuri, sisi ambao tumepata bahati ya kuziona nyakati zote za uongozi wa Nchi hii tunauona mzigo mkubwa uliojitwisha wa kuiongoza Nchi yenye watu zaidi ya million 60.

Baba Nyerere alianza na milion 9 tu akaiweka misingi changamoto zilikuwepo lakini sasa ni zaidi. sina hakika kama kwa changamoto za sasa za watu wataishije, watoto wa Taifa watasomaje, nchi italindwaje, miundombinu itatunzwaje matishio ya majanga nk.

Mama unastahili maombezi, na kila nikipiga goti kumsihi Mungu wewe utakuwa wa kwanza. Mama tulindie amani yetu.
lisu ana hoja zijibiwe kwa hoja siyo vijembe wala taarabu. tumjibu lisu kwa hoja
 
Back
Top Bottom