Uchaguzi 2020 Nchi imelipuka, kila kona, kila sehemu naona ni Tundu Lissu

Mbaya zaidi ni huko kanda ya kusini. Serikali ya magufuli walipoona magufuli ameshindwa kufanya kampeni mikoa ya LINDI na Mtwara wakaamua Jana kumzuia Lissu kufanya mikutano kama nane kwenye mikoa hiyo. Kilichonishangaza ni kuwa wananchi wameapa kwa Jina la Allah kuwa vyovyote vile watampigia kura Tundu Antiphas Lissu na watazilinda kura zao hapo wiki ijayo.

Kweli wakati wa Mungu alishafika, hakuna wa kuuzuia!!
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
 
Zikiwa zimebaki siku 3 kabla hatujaingia tarehe 28.10.2020 siku ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Tanzania, nadiriki kusema kuwa nchi naona inamtaka Lisu..... Nimezunguka Mikoa 25 ya Bara na 3 ya Zanzibar, nimepita kila pembe ya nchi. Nimezunguka vijijini sana na kila kona ya nchi hii kwa shughuli za kikazi katika NGO aiseeee sijui nini kitokee ila nimeshuhudia kwa macho yangu na kuona namna Lisu anavyokubalika sana sana...

Ambacho sikuamini ni mwamko walionao vijijini ni mkubwa kuliko hata wa majiji. Vijijini wanasema kwa hii njaa ya miaka 5 hawawezi tena kuipa serikali hii kura... Jana nilivyokuwa narudi Dar es Salaam, nilipita takriban mikoa 7 kutoka kanda ya ziwa nimeshuhudia namna Mawakala wa upinzani walivyojipanga na kupeana semina wenyewe kwa wenyewe.....

Bahati mbaya zikwenda kukusanya data za kisaisa ila kwa haya nilioyaona katika hiyo Mikoa 28 sioni namna Tundu Lisu akashindwa huu uchaguzi...... Watu wamechoka, watu wana njaa, watu hawana fedha, watu wamekosa matumaini..... Tena ukiwauliza maswali wanakujibu waziwazi kuwa kwa mbunge huyo sawa tutampa wa CCM ila suala la Urais Hapana tunampa "Mbeba Maono"....
CCM mwaka huu hawana pa kutokea. Wajiandae tu kukabidhi ikulu kwa TL mapema sana.
 
Wewe bila shaka una kinyongo na Magufuli yawezekana ulikua hulipi kodi au ulikua na cheti hewa ukatumbuliwa au ulikua unafanya biashara za magendo.
Wewe ni mnufaika wa ufedhuri wake wewe unapata Rushwa kupitia blackmail ulizowafanyia watu kupitia udikiteta wake umejinufaisha kwa kuwatisha watu ndiyo maana unamtetea mtukufu juu ya matendo yenu haramu ya kishetani
 
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu

Ndio maana amekata tiketi ya kurudi kwao baada ya Uchaguzi
 
Zikiwa zimebaki siku 3 kabla hatujaingia tarehe 28.10.2020 siku ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Tanzania, nadiriki kusema kuwa nchi naona inamtaka Lisu..... Nimezunguka Mikoa 25 ya Bara na 3 ya Zanzibar, nimepita kila pembe ya nchi. Nimezunguka vijijini sana na kila kona ya nchi hii kwa shughuli za kikazi katika NGO aiseeee sijui nini kitokee ila nimeshuhudia kwa macho yangu na kuona namna Lisu anavyokubalika sana sana...

Ambacho sikuamini ni mwamko walionao vijijini ni mkubwa kuliko hata wa majiji. Vijijini wanasema kwa hii njaa ya miaka 5 hawawezi tena kuipa serikali hii kura... Jana nilivyokuwa narudi Dar es Salaam, nilipita takriban mikoa 7 kutoka kanda ya ziwa nimeshuhudia namna Mawakala wa upinzani walivyojipanga na kupeana semina wenyewe kwa wenyewe.....

Bahati mbaya zikwenda kukusanya data za kisaisa ila kwa haya nilioyaona katika hiyo Mikoa 28 sioni namna Tundu Lisu akashindwa huu uchaguzi...... Watu wamechoka, watu wana njaa, watu hawana fedha, watu wamekosa matumaini..... Tena ukiwauliza maswali wanakujibu waziwazi kuwa kwa mbunge huyo sawa tutampa wa CCM ila suala la Urais Hapana tunampa "Mbeba Maono"....
Na hii ndiyo hali halisi ya the so called DAY DREAMING! Asante kwa kunithibitishia kuwa kuna NDOTO ZA MCHANA!
 
Wewe bila shaka una kinyongo na Magufuli yawezekana ulikua hulipi kodi au ulikua na cheti hewa ukatumbuliwa au ulikua unafanya biashara za magendo.
Magendo yapo CCM Ndungai kula bilion 12 peke yake akiwa India ni magendo kula 10% kwenye miradi ya kifisadi kuanzia ujenzi wa reli SGR bwawa la umeme flyover na miradi yote mikubwa ni magendo hayo kama ulikuwa hujui utawala huu kuna ufisadi kuliko Tawala zote zilizopita tokea Nchi ipate uhuru.hana pasipo na ufisadi kote kuna majanga na kibaya zaidi ni kuiba trilion 1,5 kisha wakamtoa CAG kafara huku ununuzi wa Ndege kwa cash ukibugikwa na ufisadi mkubwa kuliko zote Nchini
 
Bora hata ya mkoloni mweupe alimtendea wema mwafrika kuliko Hawa wakoloni weusi. Idadi ya waafrika waliouliwa na watawala wa kiafrica ni kubwa Sana kuliko hata idadi ya waafrika waliouliwa na wakoloni weupe
 
Zikiwa zimebaki siku 3 kabla hatujaingia tarehe 28.10.2020 siku ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Tanzania, nadiriki kusema kuwa nchi naona inamtaka Lisu..... Nimezunguka Mikoa 25 ya Bara na 3 ya Zanzibar, nimepita kila pembe ya nchi. Nimezunguka vijijini sana na kila kona ya nchi hii kwa shughuli za kikazi katika NGO aiseeee sijui nini kitokee ila nimeshuhudia kwa macho yangu na kuona namna Lisu anavyokubalika sana sana...

Ambacho sikuamini ni mwamko walionao vijijini ni mkubwa kuliko hata wa majiji. Vijijini wanasema kwa hii njaa ya miaka 5 hawawezi tena kuipa serikali hii kura... Jana nilivyokuwa narudi Dar es Salaam, nilipita takriban mikoa 7 kutoka kanda ya ziwa nimeshuhudia namna Mawakala wa upinzani walivyojipanga na kupeana semina wenyewe kwa wenyewe.....

Bahati mbaya zikwenda kukusanya data za kisaisa ila kwa haya nilioyaona katika hiyo Mikoa 28 sioni namna Tundu Lisu akashindwa huu uchaguzi...... Watu wamechoka, watu wana njaa, watu hawana fedha, watu wamekosa matumaini..... Tena ukiwauliza maswali wanakujibu waziwazi kuwa kwa mbunge huyo sawa tutampa wa CCM ila suala la Urais Hapana tunampa "Mbeba Maono"....
Tunaenda kuagana,na maadui wa uhuru na haki na hiyo ndio chanzo cha furaha yenyewe.
 
Back
Top Bottom