musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 588
- 904
Wasalaam
Juzi nimeona Kanisa Katoliki wamepeleka huduma za afya Kisarawe kupitia Caritas eneo ambalo asilimia kubwa ilionesha lina waislam wengi...walishukuru wanasema tangu uhuru hawakuwa na huduma za afya
Wahudhuriaji wengi walikuwa waislamu pamoja na kuwa viongozi wa mradi alikuwa Askofu Mchamungu na padre
Shule nyingi kumbe pia zilikuwa za kanisa...bado huduma za afya maeneo mengi mikoani huko ni mengi kusema bila kanisa sijui kama nchi tungekuwa wapi
Juzi nimeona Kanisa Katoliki wamepeleka huduma za afya Kisarawe kupitia Caritas eneo ambalo asilimia kubwa ilionesha lina waislam wengi...walishukuru wanasema tangu uhuru hawakuwa na huduma za afya
Wahudhuriaji wengi walikuwa waislamu pamoja na kuwa viongozi wa mradi alikuwa Askofu Mchamungu na padre
Shule nyingi kumbe pia zilikuwa za kanisa...bado huduma za afya maeneo mengi mikoani huko ni mengi kusema bila kanisa sijui kama nchi tungekuwa wapi