Msiba uko ukawa kwa wachache. Poleni mfe wenyewe ss ni HAPA KAZI TU
Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
Nina Kawaida Ya Kuwasha Tv Alfajiri Na Kusikiliza Vichwa Vya Habari Vya Magazeti(ITV). Leo Familia Imenishangaa Kuona Hadi Naenda Kazini Tv Haijawashwa.
Siku kama ya leo, naikumbuka tarehe 14/15 mwezi wa 10 mwaka 1999. Ni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha Baba wa Taifa - Nyerere kilichotokea ughaibuni. Watanzania ilikuwa kila mmoja wetu tulipokutana njiani nyuso zetu ziligubikwa na huzuni na majonzi. Jana tarehe 29 na leo tarehe 30 baada ya Magufuli kutangazwa mshindi wa Urais, tizama nyuso za Watanzania utabaini hali ya huzuni iliyo ndani ya nafsi zao. Nilitegemea kuwe na shamrashamra za ushindi kama wakati mzee wa ari mpya, kasi mpya lakini badala yake hata waliohudhuria ukumbini leo makofi ya kushangilia ushindi yalikuwa yakiombwa na mc. TUTAFAKARI JAMANI. NI NEEMA YA MUNGU TU IWEZAYO KUTUVUSHA NA VINGINEVYO MACHOZI YETU YAFIKE MIGUUNI KWA MUNGU
Tunasubiri Seif atangazwe rais tushangilie hadi CCM na Magufuli washangae.Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
Ukosefu wa amani moyoni hupunguza ufanisi wa kazi.Acheni kujifariji. Magufuli hahitaji tabasamu wala kelele za mtu. Anasema yeye ni kazi tu. Wengi hawana furaha kwa sababu walidanganyika na nyomi. Wakasahau nyomi sio kura. Sasa rais keshapatikana wala hahitaji tabasamu lako. Anataka ufanye kazi tu.