Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Wapiga kelele na wanywa viroba wamenyooshwa...what do you expect? Wastaarabu wamechukua nchi
 
Jamaa huyo hatukumchagua, amechaguliwa na Mr Dhaifu, na Lord Lofa! Sijui ataongozaje mtu wa namna hii, ambaye "ushindi" wake, umepokewa kama msiba mkubwa wa Kitaifa! SHAME!!!!!!!!
 
Jamaa huyo hatukumchagua, amechaguliwa na Mr Dhaifu, na Lord Lofa! Sijui ataongozaje mtu wa namna hii, ambaye "ushindi" wake, umepokewa kama msiba mkubwa wa Kitaifa! SHAME!!!!!!!!

Kulikuwa na UCHAGUZI au UTEUZI..?

Maana watu wengi wamenunaaa.. nikajua labda SISI WENGINE CHELSEA CLUB FANS.. ila ilipoona hadi watoto wa shule ya Msingi nikajua kuja jambo..!!

Nani KATEULIWA...!!? 😨😠😡
 
Ooohh..!!
Watu wamenunaaa..!! 

Pigeni simu, ulizeni kuna nini...? Mpigie yeyote ndugu, jamaa, rafiki, jirani..!! Wengii wamenunaaaa...!!

Aiseeee... kuna nini hakuna FURAHA KABISA...!! Mpaka watoto wa shule ya Msingi wamenunaaaa...


taifa limetengeneza ufa
 
Nina Kawaida Ya Kuwasha Tv Alfajiri Na Kusikiliza Vichwa Vya Habari Vya Magazeti(ITV). Leo Familia Imenishangaa Kuona Hadi Naenda Kazini Tv Haijawashwa.
 
Kweli kabisa SEHEMU kubwa ya Tanzania ina m?njozi, sasa atatawala watu wanamcheki tu
 
Habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.

Umesema ukweli mkuu. Magufuli anapaswa afanye kazi kwa bidii arudishe furaha zetu. Anayo nafasi ya kupendwa hata na sisi tulikuwa washabiki wa mabadiliko kama kweli ataleta mabadiliko maana wengi tunaamini tatizo la nchi hii sio kiongozi bora.. Tatizo ni CCM. magufuli anayo nafasi ya kutufanya tujione kuwa tuliaminishwa vibaya. Otherwise hii itakuwa safari ya mwisho ya CCM.
 
Back
Top Bottom