Pole dawa za depression zipo maguflaxin. Pata doseRais wa tume siyo sana na Rais wa WaTz. Mimi ni depression.
Tafakari majimbo ccm yaliyoshinda vs ya ukawa ndio jibu sahihi.Rais wa tume siyo sana na Rais wa WaTz. Mimi ni depression.
Tafakari majimbo ccm yaliyoshinda vs ya ukawa ndio jibu sahihi.
Tafakari mabox yaliyokamatwa, tafakari mabox ambayo yalipitishwa wakati tumeenda kusubiri matokeo, tafakari manipulation za tume. But if you are blinded, you will never see the truth.Tafakari majimbo ccm yaliyoshinda vs ya ukawa ndio jibu sahihi.
Humkubali acha kazi uone ilivo kazi kuishi bila kazi
Na haiwezekani watu wote wawe na furaha maana siku zote anayeshindwa husononeka. Hivyo sitarajii mtu wa ukawa kuwa na furaha kwa JPM kuwa rais. Ni kawaida.Ukosefu wa amani moyoni hupunguza ufanisi wa kazi.
Sisi ni binadamu sio vyuma.
You must learn to accept other people's opinions, otherwise if they also consider about what you say, like what you have just said here, you are no better but a fool.Trying to fool yourself
Kwa sababu uliaminishwa kuwa 1. elimu 2. elimu 3 elimu? Hata wewe huenda umepata shahada au unesoma kwa sasa, na unajua kabisa kuwa watu wengi wanapata shahada kuliko hata kipindi cha nyuma. Unasahau hata mpango wa kuwapa wanafunzi mikopo umesaidia wengi kusoma chuo kikuu, ila kama unataka elimu bure 100% na hujiulizi kodo unlipa kiasi gani hilo nijambo jingine.Elimu tupa kule...au vipi?
Majonzi yataisha mtakapoona mabadiliko ya kweli ya Dkt. Magufuli. Sauti ya wengi imejidhihirisha kwamba ni ile ya walioamua kumpigia kura za ndio Magufuli. Haitaingia akili kutaka kuwaaminisha watu kwamba sauti ya wengi ni ile yenye mapenzi na lowasa na ukawa ya mbowe na mbatia. hata sisi ambao hatuko tz tuliona nyomi kwa magufuli na lowasa pia so maamuzi ya waliopiga kura yamedhihirishwa na hesabu za kura.
Acheni kujifariji. Magufuli hahitaji tabasamu wala kelele za mtu. Anasema yeye ni kazi tu. Wengi hawana furaha kwa sababu walidanganyika na nyomi. Wakasahau nyomi sio kura. Sasa rais keshapatikana wala hahitaji tabasamu lako. Anataka ufanye kazi tu.
Kila mmoja wetu ni marehemu mtarajiwa, na wala mimi sijathubutu kumtolea kejeli yo yote kwa sababu ya ugonjwa wake. Bado suali langu hujalijibu, kwani ikulu kazi yake ni very demanding kwa nini mtu analazimisha?
By the way mimi nimepiga kote kote, kwa yule aliyenifaa ndiye nilimpigia.
Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
ikitokea maalim katangazwa mshindi znz..akavunja muungano ..makomeo atakuwa raisi wa chato?...ndio Maana wakina Lodi lofa wako tayari damu imwagike. ..tafakuriNjia pekee ni kutafuta nafasi yako ili ku-exploit opportunities as they come in hakuna haja ya kukosa raha wakati ni vitualy impossible kufanya chochote kwa sasa. Bora kukubaliana na hali life goes on ndo mpango mzima vinginenvyo unaweza kujiuta unaomba mabaya yalifikie taifa hili changa liliojaa vituko vya kila aina
Nadhani unatakiwa kumjua martin Luther,kila mtu ana dream yake na ukiwa na dream you must work hard to fulfil it.so sioni sababu ya kejeli hapo..Mr mihogo kagombea mara ngapi,Maalim Seif mara ngapi??they have their goals and they wish to achieve.Tatizo letu watanzania hatufanikiwi coz tuna hulka ya kuchekana,kukejeliana na kuvunjana moyo na kamwe hatutafika mbali kwa huu mtindo.Again unajua how much Hao walioshinda wamestruggle kufikia malengo yao???Am telling you kama ungeletewa video ya kila mmoja ungebaki midomo wazi bt mnabaki mkimshambulia mtu mmoja
Mimi ninasema nanitasema..Alaaniwe JANUARY MAKAMBA KWA KIPIMO ALICHOPIMIA WATANZANIA JAMII YANGU...January ulaaniwe na kwa kipimo hichohicho tena chakusukwa sukwa ndicho utakachopokea siku za usoni....January ulaaniwe kwa uratibu ulioufanya kwenye sekta ya mawasiliano mpka mkafanikiwa kukwapua haki za wavuja jasho...km Mungu aishivyo,haki haitapotea,KAMA KURA ZOTE MLIPATA KIHALALI BASI NA IWE BARAKA KWENU KM MTAJI WAKUBARIKIWA KTK MWANZO WENU...LKN KM MLIPATA USHINDI KWA HILA YEYOTE JANUARY MAKAMBA NAWENZAKO NASEMA KURA ZETU NAZIWE LAANA JUU YENU NA ipatilizwe kizazi chenu chote..