Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Sina Furaha! Nimegubikwa na huzuni.. Akili imestack.
 
Ishu sio Magufuli wala Lowassa
ishu ni namna uchaguzi ulivyo endeshwa...
binafsi kwangu sikujali sana matokeo....nilijali sana process....na sikuwa impressed...wala convinced
hofu yangu ni watu kutojitokeza next time
 
Hadi hapa..🙆🙆👇👇

Sina FURAHA inaongoza..!!😨
 
Sina raha kabisa ,kila saa nalia kumkosa Lowassa kanifanya niichukie siasa

Hiyo ndio siasa mkuu,ni wakati wa magufuli kutimiza ahadi zake haswa za kuwafunga mafisadi woote kama ni kweli na lowasa yupo ndo utapata amani
 
Watu tunasonga mbele kwa kazi tuuu!Ngoma isambe hiyo hairudi nyuma!tegemea maendeleo kwa speed 180,uwe na furaha usiwe nayo hiyo ni juu yako
 
But uwe na furaha usiwe nayo,keshakuwa Rais,jifunze kuzoea
 
Habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
Msiba uko ukawa kwa wachache. Poleni mfe wenyewe ss ni HAPA KAZI TU
 
Sina furaha kabisa,najuta kuwa Mtanzania!
 
Arusha wengi kwa 98% ni wagonjwa, kuna watu wanaharisha ovyo kwa mshituko, hakuna msisimko kwa ushindi wa mtu huyu. Ndo hivo tena anasubiri kuapishwa lakini sio chaguo la wengi. Kazi anayo kurudisha imani
 
Ni zaidi ya msiba hasa kwa CCM kuendelea kuongoza dola.mengine naweza kuvumilia lakini sio hili la ccm chakavu kuendelea kusimamia dola.naona hata ahadi za magufuri kukwama kutokana na hili.Magufuli atawezaje wakati hatamu zimeshikiliwa na mchwa na viwavi waliotapakaa ngazi zote za utawala? Kwa kweli naona ni msiba mkubwa kitaifa.
 
Watawala wote tanzania no mafisadi ndo maana walitoka hata maraisi walopita kumpigia kampeni ili iliingia ikulu awalinde asiwaumbue. Hata kulindana ni ufisadi. Utawala wa kifisadi huzaa mafisadi, hafungwi mtu keani hakuna msafi. Wewe mwenyewe fisadi tuu
 
Basi NCHI imeumia.. kama ni hivi.. tumeumia..!! People mourn..!!
 
Back
Top Bottom