By the way mambo ya CHAI ama hongo UTAFUNGWA katika nchi nyingi za hizo, KWELI ni KWELI na kama huna jibu senma SIJUI. Hilo litamwokoa mtu kuliko hongoebu wakumbushe kuwa na hongo si kitu cha kipaumbele kama kwetu...
By the way mambo ya CHAI ama hongo UTAFUNGWA katika nchi nyingi za hizo, KWELI ni KWELI na kama huna jibu senma SIJUI. Hilo litamwokoa mtu kuliko hongoebu wakumbushe kuwa na hongo si kitu cha kipaumbele kama kwetu...
Nenda mkuu nafasi ziko nje huko pia.basi sawa, ngoja nitafute nauli, nikipata nauli nitaenda kutembea.
Mkuu kwa nini ni Kenya na si kwingine? Swali tu.mhhhhh!!! mbona hamna nchi hata moja ya maana zaidi ya Kenya???
shukraniSawa
Kufika si vigumu.Miye nataka niende hiyo nchi ya Niue,nafikaje mkuu?
1' Niue ni Kisiwa nkidogo sana chenye utajiri mwingi.shige2 kuna fursa gani huko za kimaisha?
Nashukuru sana. Lakini unajua baadhi ya nchi hizo ni TAJIRI sana?Mkuu umefanya jambo jema kutujuza ingawa si katika yale mataifa pendwa
kUNA JAMBONILISAHAU KUKUAMBIAshige2 kuna fursa gani huko za kimaisha?
Nashukuru mkuu, ingawa watu wengependa pia kujua sheria za uhamiaji za mataifa kama UK, France. Germany, Netherlands, India, America nk. Hata hivyo kitendo chako cha kuchungulia fursa za mataifa uliyoyataja na kuyaweka hapa kinastaili pongezi. Asante mkuuNashukuru sana. Lakini unajua baadhi ya nchi hizo ni TAJIRI sana?
Acha zile maskini kama HAITI kuna Nyingi MKUU huwezi kusota. kazi kibao NA NAFASI KIBAO.
Lakini je unajua utajiri wake?Mnh nchi zingine ni kama kijiji tu
Mfano British virgin island watu 28000(elfu ishirini na nane) hii si inaweza kulingana na kijiji cha ibutamisuzi?
Nchi kama Ufaransa ni Mateso na ubaguzi.Nashukuru mkuu, ingawa watu wengependa pia kujua sheria za uhamiaji za mataifa kama UK, France. Germany, Netherlands, India, America nk. Hata hivyo kitendo chako cha kuchungulia fursa za mataifa uliyoyataja na kuyaweka hapa kinastaili pongezi. Asante mkuu
Kuelimishana tu mkuu.Mkuu umefanya jambo jema kutujuza ingawa si katika yale mataifa pendwa
Passport ya Marekani ndo inanguvu zaidi na wanaingia free nchi mia na zaidi,vipi na wao wamepewa kwa vigezo kama vya tanzania?Wana JF katika kelimishana tu maana kuna msemo usemao information is power/ Habari ni nguvu
Maranyingi Watanzaniahatupendi kusafiri sana na sijui ni kwa nini,hata hivyo kuna wachache wanaojaribu. Ili kila mtu AFAIDIKE kwa namna moja au nyingine pengine kutafuta maisha,Kazi,Kutembea kusoma nk.
Nchi hizinibaadhi ya nchi ammbazo Watanzania WANARUHUSIWA KUINGIA na kupata VISA on arrival ni:
1.Antigua
2.Albania
3.Armenia
4.Azebaijan
5.British Virgin Islands(siku 30 bila visa)
6.Barbados(miezi 6 bila visa)
7.Bangladesh
8.Botswana
9.Burundi
10.Bahamas
11.Belize
12.Bermuda
13.Bolivia
14.Cambodia
15.Cayman Island(siku 60 bila visa)
16.Cape Verde
17.Comoros
18.Cook Island(miezi 6)
19.Djibouti
20.Dominica(miezi 6 bila visa)
21.Ethiopia
22.Equador(miezi 3 bila visa)
23.Egypt**
24.Fiji
25.Grenada
26.Gambia
27.Guinea
28.Georgia(miezi 3 bila visa)
29.Haiti(miezi 3 bila visa)
30.Hongkong
31.Jamaica
32.Jordan
33.Kenya
34.Kosovo
35.Laos
36.Lebanon
37.Lesotho
38.Libya*
39.Liberia
40.Makau
41.Montserrat(miezi 3 bila visa)
42.Saint Lucia
43.Zimbabwe(miezi 3 bila visa)
44.Zambia(miezi 3 bila visa)
45.Uganda(miezi 3 bila visa)
46.Swaziland
47.South Africa
48.Rwanda
49.Namibia
50.Mozambique
51.Mauritius
52.Mali
53.Malawi
54.Madagasca
55.Guinea Bissau
56.D.R.C(siku 7)
57.Phillipines(siku 30 mpaka 59)
58.Tuvalu
59.Samoa(siku 60)
60.Niue-nchi za Oceania
61.Micronesia
62.Indonesia
Nafikiri kigezo kikuu cha Watanzania kuheshimika ni TABIA yao hawana ULOWEZI sana na UTAPELI TAPELI. Jirani zetu wanaruhusiwa kuingia nchi chache sana.
Tanzania Hoyee!!
hawaingii FREE kama unavyosema mkuu. Sheria ni sheria na UPENDELEO ni UPENDELEO. Marekani hawaingii kila mahali kienyeji, Huomba Visa ama HUnnyimwa visa. Nchi kama Korea Kaskazini nk.Passport ya Marekani ndo inanguvu zaidi na wanaingia free nchi mia na zaidi,vipi na wao wamepewa kwa vigezo kama vya tanzania?