Sisi zote hizo tunazo (tuna gesi ambayo ni mbadala wa mafuta na ina thamani sawa na mafuta,tuna dhahabu na migodi mikubwa,tuna cocoa na vanilla pamoja na kilimo kingine.
Kikubwa zaidi nchi yetu ni moja ya nchi zenye rasilimali hadimu zaidi duniani,why tunaridhika na umaskini?hili swali hakuna mtu anayeweza kulaumiwa zaidi ya viongozi wetu tu,sio visionary.Malaysia,Thailand,China hizi nchi hazina rushwa viongozi waadilifu hadi raha na ndio maana wametuacha gape kubwa na wakati tulikuwa sawa tu miaka ya 60
View attachment 3536725