Nchemba ?

Nchemba ?

Britannica anapoweka taarifa fupi hivi Kuna jambo kubwa sana. Subiri nijaribu ku-decode

Heading inasomeka ikiwa na alama ya kiulizo , hapo na ni kama anataka kujua nini umefanya tena. Katika kitabu Cha Mwanzo kwenye Biblia , Mungu alimwambia adamu ,upo wapi? Sio kwamba hakujua alipo ila alikuwa anamuuliza umefanya nini

Tukija ndani kwenye content, unaona maneno nakusalimia, maana ya salamu ni habari iwe njema au mbaya. Malaika Gabriel alimpotokea Bikra Maria , alianza na salamu kumaanisha ana habari. Halafu hapo hapo baada ya salamu Kuna emoji ya ujumbe ni kama unaandikwa na mtu kucheka , hapo ni kama anakumbusha jambo ambalo mhusika analifahamu
 
Habari kama hizi Chadema wanazipenda sana. Watashadidia udaku ambao hata hawajui chanzo chake ni nini, halafu baadae utawasikia, "Utambulisho wa Aziz Ki ulikuwa wa kutuondoa kwenye reli"! Pumbavu kabisa!!!
CHADEMA ni binadamu, wana UTU ndio maana wanapenda kusalimia.

britanicca ni mCCM, anamsalimia mCCM mwenzake, una tatizo na hilo!!??
Mbona umekosa utu wewe!!??
 
It's a good thing kuwakumbuka members wetu humu, na kuwasalimia, pia tatawakumbusha, how active contributors they were, when they were nobody's compared now that they are somebody's big shots in the state, hawachangii tena humu, tuwakumbushe mpanda ngazi.

Mimi mwenzenu namkubali sana huyu jamaa na humu nilieleza https://www.jamiiforums.com/threads...can-make-the-best-president-nimeguswa.860192/

P
Hivi yale mawe kwenye barabara kuu yalifutwa? ngoja tuwaulize NEMC kwani jamaa alichafua sana barabara kuu, ikifika 2030 hata nyumbu wa Serengeti wataandikwa jina lake
 
Back
Top Bottom