kulagha nenga
JF-Expert Member
- Jan 1, 2026
- 451
- 926
Yuko vizuri, anajitahidi, hakuna binadamu asiekuwa na mapungufu. Nashauri ashuke huku chini Kwa wakurugenzi Kuna madudu ya hatari kwenye hizi halimashauri zetu
Hilo ni kipapai😀wakati umechinja kuku wa zindiko..umeachaje 😂 😂 😂 😂 😂
Inaelekea kuna siku litampata....
Hata wewe ungepanda ngazi mkuu tungekukumbuka tu.😀It's a good thing kuwakumbuka members wetu humu, na kuwasalimia, pia tatawakumbusha, how active contributors they were, when they were nobody's compared now that they are somebody's big shots in the state, hawachangii tena humu, tuwakumbushe mpanda ngazi.
Mimi mwenzenu namkubali sana huyu jamaa na humu nilieleza https://www.jamiiforums.com/threads...can-make-the-best-president-nimeguswa.860192/
P
Kuna tetesi ngoja nizifanyie kazi....Mheshimiwa nakusalimia ✍🏻😁
Britanicca
HapanaKang'ata shuka au
Habari kama hizi Chadema wanazipenda sana. Watashadidia udaku ambao hata hawajui chanzo chake ni nini, halafu baadae utawasikia, "Utambulisho wa Aziz Ki ulikuwa wa kutuondoa kwenye reli"! Pumbavu kabisa!!!Mheshimiwa nakusalimia ✍🏻😁
Britanicca