Asubuhi hii saa 4 na dkk 10, mh Nchemba ameomba muongozo wa naibu spika kuhusu maelezo ya uthibitisho wa yeye kuhusika na EPA. amezungumza huku akionesha hisia kali sana.
Kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. Ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. Tundu Lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa Nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha Lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.
ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".
"Mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. Mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa Mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai
kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. Tunasubiri taarifa ya kamati.
UCHAMBUZI WANGU
Ni dhahiri kuwa CCM wameshapitia ripoti ya Mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, Nchemba angezuiwa toka jana na CCM kuzungumzia suala hilo. Vile Nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. Ama kweli Nchemba amshika Mnyika pabaya! Mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo
Kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. Ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. Tundu Lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa Nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha Lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.
ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".
"Mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. Mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa Mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai
kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. Tunasubiri taarifa ya kamati.
UCHAMBUZI WANGU
Ni dhahiri kuwa CCM wameshapitia ripoti ya Mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, Nchemba angezuiwa toka jana na CCM kuzungumzia suala hilo. Vile Nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. Ama kweli Nchemba amshika Mnyika pabaya! Mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo