Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Kuna tetesi kuwa Dola ya Mabwepande imewapiga stop hawa jamaa kuendesha midahalo. Mwenye data zaidi atujuze
hawa ndo viongozi wa nchi hii bana!
Ni mchezo wa ccm,la msingi nao CDM walazimishe nao shahidi zao zije mezani.
Mkuu u mean FIFO aijazingatiwa hapa?
Ni jambo ambalo nina uhakika nalo kwanini niliache linyamaziwe kimya. Tuhuma nzito kama hiyo nikiinyamazia nitakuwa wa ajabu sana wakati imetokea nikiwa sio mwajiriwa BOT. KAMA KUNA ZILIZO ACHWA NI HIZO NA SIO MWENDELEZO. KAMA ALITELEZA ASEME KAMA NI UELEWA ASEME LAKINI MIMI NA EPA TUKO MBALI KAMA MBINGU NA NCHI.
Is this your 1st post? Au kuna mtu kajisajili kwa jina lako. Nakumbuka kusoma michango yako humu kabla ya huu wa leo. Hapo kwenye red, kushindwa kwa wenyeviti kusimamia mijadala kulichangia kumfikisha Mnyika kutoa kauli ile. Sijui mtu kama Mabumba mlimpa uenyekiti kwa kutumia vigezo gani.Ni jambo ambalo nina uhakika nalo kwanini niliache linyamaziwe kimya. Tuhuma nzito kama hiyo nikiinyamazia nitakuwa wa ajabu sana wakati imetokea nikiwa sio mwajiriwa BOT. KAMA KUNA ZILIZO ACHWA NI HIZO NA SIO MWENDELEZO. KAMA ALITELEZA ASEME KAMA NI UELEWA ASEME LAKINI MIMI NA EPA TUKO MBALI KAMA MBINGU NA NCHI.
Asubuhi hii saa 4 na dkk 10, mh nchemba ameomba muongozo wa naibu spika kuhusu maelezo ya uthibitisho wa yeye kuhusika na EPA. amezungumza huku akionesha hisia kali sana. kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. tundu lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.
ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".
"mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai
kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. tunasubiri taarifa ya kamati.
UCHAMBUZI WANGU
ni dhahiri kuwa ccm wameshapitia ripoti ya mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, nchemba angezuiwa toka jana na ccm kuzungumzia suala hilo. vile nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. ama kweli nchemba amshika mnyika pabaya! mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo
Kwa mtazamo wangu hapa ni MNYIKA AISHIKA PABAYA SERIKALI kwa maana fupi tu ni serikali na Nchemba kama wanabisha/anabisha hakuusika na kashfa ya EPA basi sisi kama wananchi tunahitaji kujua fedha zile ziliibwa na nani? zilipelekwa wapi na kwa matumizi gani? na kama zilirudishwa hao waliorudisha ni akina nani? na walichukuliwa hatua gani kwa wizi huo? pia na baada ya kurudishwa zilitumika wapi na zilirudishwa katika akaunti gani? kwa hili Nchemba anapokanusha basi awe na majibu mbadala ni akina nani waliiba kwa sababu alipoingia pale BOT alikuta ripoti na wakati fedha zinarudishwa alikuwepo, hii isiwe janja ya kuchezea akili zetu watanzania.
Lazima kanuni na utaratibu huu ufuatwe FIRST COMES FIRST SERVED
Kabla ya USHAHIDI wa Mnyika lazima shahidi zilizotangulia tufahamishwe matokeo yake. Ndugai TENDA HAKI. Tunataka Matokeo ya SHAHIDI zifuatazo kwanza
1. Lema v. Pinda (kusema uongo)
2. Magdallena Sakaya v. DCs kuchukua Hongo
3. Zitto v. Baraza la mawaziri kurubuniwa
4. Mnyika v Nchemba kuhusika EPA.
Najua Ndugai huwa unapitia JF
Tatizo la wabunge vijana wanacheza karata bila kuangalia mbele wakati wenzao wanatafuta weak-point ya kummaliza yoyotePengine hutokea kuwa wameshikwa pabaya! Tatizo la Wabunge wenu wanapenda kubeba habari za kusikia na kuzitamka hadharani. Mbona wakati wa Slaa alikuwa muangalifu wa anachosema?
Asubuhi hii saa 4 na dkk 10, mh nchemba ameomba muongozo wa naibu spika kuhusu maelezo ya uthibitisho wa yeye kuhusika na EPA. amezungumza huku akionesha hisia kali sana. kasema kuwa wakati wa kashfa ya EPA alikua hajaanza kufanya kazi B.O.T. kasema wapiga kura wake na familia yake imeguswa sana na tuhuma hizi. ameomba kujua maendeleo ya suala hilo kutoka kwa naibu spika. tundu lissu amejaribu kusema kuwa muongozo wa nchemba siyo sahihi lkn naibu spika akamuelimisha lissu kuwa muongoozo haujawekewa ukomo.
ndugai ameomba wabunge wawe makini na kauli zao. "mbunge huwezi kusema kuwa una ushahidi wa jambo fulani kisha ukiombwa ushahidi unapeleka habari za mtaani na ushahidi wa magazeti".
"mnyika alidai kuwa mh nchemba alihusika na EPA. mnyika ameleta ushahidi ambao ni maelezo mafupi. suala hili nalipeleka kwenye kamati ya maadili ya bunge, watapitia ushahidi wa mnyika kisha wote wataitwa kuhojiwa na kamati. matokeo ya kamati tutafahamishwa" alisema ndugai
kwa jinsi lissu alivyokua anababaika, inaelekea MNYIKA SUALA HILI LIMEMKALIA VIBAYA! yetu masikio. tunasubiri taarifa ya kamati.
UCHAMBUZI WANGU
ni dhahiri kuwa ccm wameshapitia ripoti ya mnyika na kuiona haina mashiko. kama ingekua na mashiko, nchemba angezuiwa toka jana na ccm kuzungumzia suala hilo. vile nchemba ameliibua tena leo hii, inaonesha ametumwa na chama chake. ama kweli nchemba amshika mnyika pabaya! mdomo jamani mdomo! mdomo jamani mdomo
Nchemba hajatulia....Anapenda sn misifa!