Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,242
- 98,236
Nilisema mwanzo huu muungano haupo kwa ajili ya kusaidia wananchi ni muungano wa wataka madaraka tu, ndio sababu wanafukia kila shimo bila maelezo mradi tu waonekane hawana tatizo ndani, lakini ukweli haujifichi ndani ya ukawa wao kwa wao pia hawaaminiani, hapa nawaambia mwisho wa ukawa itakuwa siku ambayo chama chochote kitateuwa mgombea urais kwa nafasi hiyo, hapo ndio wamekaa kutegeana kwa sababu wote ni wapenda madaraka
Nanyie anzisheni umoja wenu kati ya act,tlp,umd,ccm maana naona unaleta jicho lako la husuda dhidi ya ukawa