Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,248
- 98,242
Kila chama katika Ukawa kinategemea nguvu ya mwenzake ili kushinda Ubunge...lakini Nguvu kubwa ya ushindi inayotegemewa sana katika Ukawa ni CHADEMA ili vyama vingine vya ukawa viweze kushinda...Bila Ukawa...Nccr inaweza kushinda majimbo 3 tu ya kigoma tena nayo ni hati hati...na bila Ukawa hata Mbatia hatingi bungeni....Mimi natoka Tarime...Tarime hakuna nccr pale..labda Cuf iseme lakini siyo Nccr...
Tunazo taarifa kuwa Mbunge wa Tarime CCM Ndiye aliyewahonga hao jamaa ili watoe hilo tamko...na kuleta mvurugano ili yeye aje ashinde kirahisi...
Tupo pamoja mkuu kwa kutupa hali halisi