NCCR wapinga mgao wa Majimbo UKAWA

NCCR wapinga mgao wa Majimbo UKAWA

Nimeattach gazeti lenye tamko la chama cha nccr mageuzi wilaya ya Tarime kikipinga mgawanyo wa majimbo ndani ya Ukawa.

Ni dhahiri kuwa kuna tatizo kubwa ndani ya ukawa na viongozi wetu hawawi wakweli kuhusu kinachojiri ndani ya vikao, wanachoeleza kwa umma kinatofautiana na uhalisia.

Ni wakati sasa viongozi wa ngazi za Taifa wakawa wanaratibu mambo yao na viongozi wa ngazi za chini. Unafiki unaofanywa na viongozi ngazi ya Taifa hautasaidia kuwa na muungano imara, maana hadi sasa kuna sintofahamu na kujenga juu bila kuwa na msingi mzuri ni sawa na kujenga nyumba yenye paa zuri bila kuwa na msingi imara.
===============



Chanzo:
Habari Leo

Unasoma gazeti gani hilo Wewe mbwiga?
 
Kugawana majimbo au ????

Unaonaje NLD ikaachiwa majimbo 60 ??

Kama ni kugawana , hata zanbar basi Chadema ingegawiwa 10 na Nccr 8 na Nld 5

Mbona cuf kaachiwa yote kule zanzibar

Unaachiwa pale ulipo na nguvu au mtu menye nguvu
 
Nimeattach gazeti lenye tamko la chama cha nccr mageuzi wilaya ya Tarime kikipinga mgawanyo wa majimbo ndani ya Ukawa.

Ni dhahiri kuwa kuna tatizo kubwa ndani ya ukawa na viongozi wetu hawawi wakweli kuhusu kinachojiri ndani ya vikao, wanachoeleza kwa umma kinatofautiana na uhalisia.

Ni wakati sasa viongozi wa ngazi za Taifa wakawa wanaratibu mambo yao na viongozi wa ngazi za chini. Unafiki unaofanywa na viongozi ngazi ya Taifa hautasaidia kuwa na muungano imara, maana hadi sasa kuna sintofahamu na kujenga juu bila kuwa na msingi mzuri ni sawa na kujenga nyumba yenye paa zuri bila kuwa na msingi imara.
===============



Chanzo:
Habari Leo
Gazeti gani limeandika,et habari leo hahaaaaaa gazeti la waandishi uchwara unategemea wana weledi kweli???pfuuuuu
 
Eti mnataka kugombanisha ukawa?? kwa faida ya umaskini wa koo zenu, haitawezekana tena UKAWA MPANGO MZIMA na lazima tukubali kuna wakubwa na wadogo kutokana na kura za wananchi sehemu mbali mbali
 
NCCR Mageuzi komaeni mmepanda wote na kwenye mavuno lazima muwe wote.
 
Kama ulijuwa kuwa ukawa haina mashiko mbona bado inaendelea kuwanyima usingizi hadi macho yanawavimba?

Hivi kwa akili yako kati ya Lipumba na Slaa nani atakubali mwenzake agombee urais? Kati yao hakuna maana wote wapenda madaraka na hapo ndio itakuwa mwisho wa ukawa, hapa ni muda tu utatoa majibu tuombe uzima
 
Hivi kwa akili yako kati ya Lipumba na Slaa nani atakubali mwenzake agombee urais? Kati yao hakuna maana wote wapenda madaraka na hapo ndio itakuwa mwisho wa ukawa, hapa ni muda tu utatoa majibu tuombe uzima

Nakuonea huruma mkuu kwani mawazo yako yangekuwa na manufaa wakati wa bunge maalum la katiba,ndio kulikuwa na vuguvugu la kuunda ukawa,lakini sasa ukawa ishajiwekea misingi imara na siyo tena mambo ya atagombea nani.
 
Hili gazeti la lini?

Mrengo wa gazeti pia unapaswa kuangaliwa. Biased news haziaminik sana hasa kwa kuangalia mrengo wa gazeti husika. Kama wangekuwa wanataka majibu basi wangetafuta majibu zaidi kutoka kwa ngaz za juu za hao NCCR
 
Sasa mbona mtu mmoja ana akaunti zaidi ya moja humu? Hii ni kwa faida ya nani?
 
Nimeattach gazeti lenye tamko la chama cha nccr mageuzi wilaya ya Tarime kikipinga mgawanyo wa majimbo ndani ya Ukawa.
Ni dhahiri kuwa kuna tatizo kubwa ndani ya ukawa na viongozi wetu hawawi wakweli kuhusu kinachojiri ndani ya vikao, wanachoeleza kwa umma kinatofautiana na uhalisia.

Ni wakati sasa viongozi wa ngazi za Taifa wakawa wanaratibu mambo yao na viongozi wa ngazi za chini. Unafiki unaofanywa na viongozi ngazi ya Taifa hautasaidia kuwa na muungano imara, maana hadi sasa kuna sintofahamu na kujenga juu bila kuwa na msingi mzuri ni sawa na kujenga nyumba yenye paa zuri bila kuwa na msingi imara.
===============



Chanzo:
Habari Leo

We we Deo meck acha Maneno mengi hizo ni chuki binafsi wewe kwenu ni Tarime na kama kuna ugomvi unauratibu wewe na wanaccm kwa sababu uligombea uwenyekiti wa vijana taifa nccr ukakosa alafu ndiyo unaratibu haya wakati ukijua Tarime akuna nccr
 
Hii haitaji shule kubwa kujua huu ujinga ulioandikwa hapa, tuna majimbo 239, hapa tunaambiwa CDM wamechukua 114 CUF 80 NCCR 33 ukijumlisha hizo na zile 12 ambazo bado hawajaafikiana unapata 239 yameisha, sasa yakuapi majimbo waliopewa NLD?
 
Kugawana majimbo au ????

Unaonaje NLD ikaachiwa majimbo 60 ??

Kama ni kugawana , hata zanbar basi Chadema ingegawiwa 10 na Nccr 8 na Nld 5

Mbona cuf kaachiwa yote kule zanzibar

Unaachiwa pale ulipo na nguvu au mtu menye nguvu

umejenga hoja mkuu, sema pakacha likivuja limevuja tu...akili ikiruka vgumu kurudia hali ya kawaida
 
Wacha ukawa isonge. Mimi binafsi nimekubali kujitoa ubunge bila pingamizi ili nimpishe wa ukawa chadema. Wewe umetumiwa au ubinafsi, na uchu wa madalaka. Lazimaujue makubaliano ayo yana adhali kwa wagombea.lakini kitaifa ni faida kubwa.
 
Nimeattach gazeti lenye tamko la chama cha nccr mageuzi wilaya ya Tarime kikipinga mgawanyo wa f0majimbo ndani ya Ukawa.

Ni dhahiri kuwa kuna tatizo kubwa ndani ya ukawa na viongozi wetu hawawi wakweli kuhusu kinachojiri ndani ya vikao, wanachoeleza kwa umma kinatofautiana na uhalisia.

Ni wakati sasa viongozi wa ngazi za Taifa wakawa wanaratibu mambo yao na viongozi wa ngazi za chini. Unafiki unaofanywa na viongozi ngazi ya Taifa hautasaidia kuwa na muungano imara, maana hadi sasa kuna sintofahamu na kujenga juu bila kuwa na msingi mzuri ni sawa na kujenga nyumba yenye paa zuri bila kuwa na msingi imara.
===============



Chanzo:
Habari Leo

Wakati chase a wanazunguka kila mahali kueneza chama nyie mlikuwa mmelala then Leo mnataka mgawanyo sawa! Hii so sawa
 
ukawa wanachofany kugawana majimbo ni km mkutano wa berlin walvokuwa wanagawana afrika tuna shida
 
Muungano unatakiwa uwe na usawa bila kujali chama gani kina nguvu kias gani, kwakua wapiga kura watachagua mgombea bila kujali anatoka chama gani! ilimradi tu atakae simamishwa anatokea ukawa huo ndio ushirikiano. au nyie cdm hamko tayari kupigia kura wenzenu? kama mkotayar kuna haja gani kujilimbikizia 50$ ya majimbo? muungano uwe na usawa!
Muungano upi tena!
 
Viongozi wa UKAWA walikubaliana kugawana maeneo ya kugombea ubunge na udiwani kivyama.Vigezo wanavyotumia kugawana nafasi na maeneo wanavijua viongozi wenyewe.Nimekutana na wanachama ambao walijiandaa muda mrefu kugombea maeneo husika na kujikuta maeneo hayo yanapewa Chama kingine ndani ya UKAWA wakati wao wamewekeza muda mrefu wagombee.

Vigezo vingi wanavyotumia ni takwimu za uchaguzi uliopita bila kujali mabadiliko mbalimbali ambayo yametokea kwa kipindi cha Miaka mitano.

UKAWA mnatumia vigezo gani kugawana maeneo hebu waelezeni wanachama wenu acheni utapeli.
 
Back
Top Bottom