Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 444
DEO MECK Mbag
Gazeti lenyewe na Mleta hoja wote ni 'chumia tumbo'...wanaombea 'dua la kuku limpate mwewe' wapi na wapi? Ungekuwa una uchungu na UKAWA au ungeijua UKAWA inavyoendesha mikakati yake ungekuja na hoja ambayo ni 'curious' au yenye kuaninsha kwa kutumia vigezo vingine ambayo UKAWA inaweza kumaliza hilo tatizo, kama lipo kweli kama sio linatengenezwa na CCM na ACT!
Unaposema 'viongozi wetu' wakati unajua akilini [UKAWA] sio viongozi wako, ...bali wewe unaelekezwa na 'wengine', hiyo ni failure no1 ya hoja yako! Na wanaoisupport wote wanaonekana wanashabihiana na mwelekeo wako kiitikadi, kwa style hiyo 'argument disqualified due to biasness'...hizi hoja za Ki-magamba magamba hazinaga 'wigo wa fikra'...wanajitekenya na kuanzia hapo wanaendelea kuchekeshana wenyewe kucha ..kutwa ...!
Gazeti lenyewe na Mleta hoja wote ni 'chumia tumbo'...wanaombea 'dua la kuku limpate mwewe' wapi na wapi? Ungekuwa una uchungu na UKAWA au ungeijua UKAWA inavyoendesha mikakati yake ungekuja na hoja ambayo ni 'curious' au yenye kuaninsha kwa kutumia vigezo vingine ambayo UKAWA inaweza kumaliza hilo tatizo, kama lipo kweli kama sio linatengenezwa na CCM na ACT!
Unaposema 'viongozi wetu' wakati unajua akilini [UKAWA] sio viongozi wako, ...bali wewe unaelekezwa na 'wengine', hiyo ni failure no1 ya hoja yako! Na wanaoisupport wote wanaonekana wanashabihiana na mwelekeo wako kiitikadi, kwa style hiyo 'argument disqualified due to biasness'...hizi hoja za Ki-magamba magamba hazinaga 'wigo wa fikra'...wanajitekenya na kuanzia hapo wanaendelea kuchekeshana wenyewe kucha ..kutwa ...!
Last edited by a moderator: