"'Hiyo ni mbinu ya wengi humu kutaka kukuondoa kwenye hoja unayoisimamia na hasa inapokuwa na ukweli unaoumiza"ASISUSE SAWA LAKINI AKIWEKA HOJA AMBAZO HAZINA MASHIKO ATEGEMEE RACTION KAMA HIZO,KWA SABABU HWEZI KUSEMA 70,000 HAISAIDII KITU WAKATI KUNA WABUNGE 300 MARA ELFU SABINI TSH NGAPI KWA SIKU MARA SIKU KUMI,HOSPITALI NGAPI HAZINA HATA PANADOL AACHE UJINGA HUO APELEKE FACEBOOK HUKO,CCM WANAWAPA WANANCHI FEDHA KIMYAKIMYA WAPI?WAKATI KUNAMFUKO WA MAENDELEO WA JIMBO,NDIO MAANA AKAPATA MAJIBU YA DHARAUAh! Unataka kususa kwa hilo tu! Kwani katumwa na uongozi wa JF kukutukana? Hiyo ni mbinu ya wengi humu kutaka kukuondoa kwenye hoja unayoisimamia na hasa inapokuwa na ukweli unaoumiza.
Naomba uthibitishe kwamba mimi natumia makalio kufikiri, usipofanya hivyo na usipopigwa Ban naachana rasmi na JF.
Usikurupuke best, mwalimu unayemzungumzia ni yupi? hivi unajua kuna walimu wenye mishahara mikubwa kuliko Wahasibu na Madaktari? be specific man
Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
Nia ya Zitto Kabwe siyo mbaya, ninapomuona ni mtoto ni pale anapotaka pesa zake ziwekwe kwenye account ya KDI ndipo anakosea kwani kwani kwa kufanya hivyo analiongezea majukumu bunge, kwanini asichukue hiyo pesa na aipeleke yeye? unapomuomba mtu akusaidie kazi fulani tegemea yes or no maana hilo ni jukumu jipya kwa wahasibu wa bunge
nimetoka kusema punde tu mambo wanayofanya wana CCM yanashangaza sana wanaongea utazani vibogoyo unafananishaje mkopo na posho.jamaa wanahitaji maombiKwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
acha ukichaa, mwalimu anamzidi lini mhasibu?daktari? Kama unaongelea private sekta uko ni bargaining power wala mwenye akili timamu hawezi kulifikiria kwa kuwa hata sekretari wa kagoda ltd anamzidi msahara hata mtumishi wa hazina,ila ktk ngazi za govt.umechemka. Mwalimu kwa mapato hamfuati hata mhasibu msaidizi II. Na ukiongeza marupurupu ndo umewatenga kabisa,na overtime? We chunguza kwanza. Nakupa mfano mhasibu wa wilaya ana haki ya kuitumia gari ya STK ambayo hutumia DAS,yani district administrative secretary,mwl anapata usafiri huo?overtime?tuisheni au? Transport allowance kwenda na kurudi hazina hata ikiwa kila wiki? Je nauli kwenda na kurudi kutoka kwa mhasibu wa mkoa hata kama ni kila siku ktk majukumu? Hapa namuongelea mhasibu mdogo ktk ngazi za kiserikali,je mwl anaweza ayo? Sometimes we should call a spade a spade,mwl na mhasibu/daktari hawalinganishwi! Believe or reject!
MwanaCCM,
Mkuu wangu unapotoa hoja jaribu kuijenga kwa umakini na kuonyesha sababu ambazo wewe unapinga kutoka hoja iliyotangulia.
Kwa nini wananchi, Chadema na NCCR wanapinga posho hizi?.. ni kwa sababu Tunatumia karibu trillioni 1 kwa mwaka kulipia posho toka bajeti ya trillioni 13 hizi fedha ni zaidi ya asilimia 7, kwa hiyo ukitumia sijui Tsh 70,000 kwa kikao haina maana yeyote kama hutazingatia kwamba serikali imetenga kiasi gani kitumike.
Kisha hao hao viongozi wana vikao zaidi ya kimoja usidhani kwamba wanalipwa Tsh 70,000 tu, kiongozi anaweza kuwa na vikao vitatu hadi vinne toka taasisi tofauti za kiserikali tena akiwa mji anaoishi, sasa huu usafiri na malazi ktk hesabu ya Tsh 70,000 inatoka wapi?. Tunajua michezo yote ambayo huchezwa na viongozi kiasi kwamba baadhi yao posho pekee inazidi hata mishahara yao kwa mwaka.
Pengine unaweza kufikiria kwamba asilimia 7 ni ndogo sana lakini jaribu kuperuzi utazame serikali ya Mwalimu, Mwinyi na hata Mkapa walikuwa wakitumia asilimia ngapi ya bajeti kwa elimu au Afya, kisha utapata picha kamili kwa nini wananchi wanapiga kelele na hizi Posho.
Katika swala la ruzuku za vyama mkuu wangu hapa naomba unipe mahesabu yake kwa sababu lazima ukubali kwamba nia na lengo la ruzuku hizi ni kujenga demokrasia. Sasa sijui ni gharama gani inayopaswa kutumiwa ktk ujenzi wa demokrasia kwani pasipo fedha hizi vyama vitaanguka kirahisi. Binafsi siamini NCCR ilianguka kwa sababu ya kuondoka kwa viongozi wake pekee kuwa sababu ila waliangukia pua pale fedha za uendeshaji chama zilipopungua na wakashindwa kuwalipa hata wabunge walioshindwa. CUF pia ingekuwa ktk matatizo kama haya sema tu wabunge wa Zanzibar ndio wameokoa jahazi laa sivyo ndio ilikuwa imetoka.Pia sisi wananchi tunapinga vikali posho za aina yoyote ile pamoja na ruzuku kwa vyama vya siasa. Ruzuku inayokwenda kwenye vyama vya siasa ni kubwa mno kwa nchi masikini kama Tz, nayo inapaswa kusitishwa mara moja.
Safari ni hatua...wakati hawa wameanza na jambo hilo, wengine hawakatazwi kuanza na jingine..kwani lengo si lile lile la kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kuelekeza kidogo tulichonacho katika sekta muhimu...Hata hivyo my take: Wabunge wetu wangekuwa waungwana na wangejijengea heshma duniani na akhera km wangeshinikiza walipe kodi (PAY AS YOU EARN) kutokana na mishahara yao kama ilivyo kwa waajiriwa wote nchini. Pia Mashangingi wanayokopeshwa wasikubali kulipia nusu ya mikopo yao, bali waonyeshe uzalendo wa kulipia kwa asilimia 100%, kwani wao si sawa na watanzania wengine??Kwa hili natofautiana na Chadema na NCCR-Mageuzi, hapa wanatafuta umaarufu kwa bei chee, hivi mnafahamu kiasi wanachokigomea? posho ya kikao kwa taarifa yenu ni Tshs70,000 kwa siku, kwanini wasigomee Milioni90 za magari? Tusishabikie upuuzi NCCR sasa wanaonyesha hawana mwelekeo hiyo hoja ya Zitto ni ya kitoto sana, kama ana machungu na wananchi kwananini asigomee M90 au angechukua awapelekee. au tatizo liko wapi angepokea posho za vikao na angezipeleka kwa wananchi? Kwa wabunge wakomavu(wengi wapo CCM). Wanapokea hizo posho na wanawapelekea wananchi kimyakimya bila kujitangaza magazetini. Hata hivyo simlaumu sana zito nasikia kiumri bado ni kijana mdogo sana hivyo watu wazima tunawajibika kumshauri
Katika swala la ruzuku za vyama mkuu wangu hapa naomba unipe mahesabu yake kwa sababu lazima ukubali kwamba nia na lengo la ruzuku hizi ni kujenga demokrasia. Sasa sijui ni gharama gani inayopaswa kutumiwa ktk ujenzi wa demokrasia kwani pasipo fedha hizi vyama vitaanguka kirahisi. Binafsi siamini NCCR ilianguka kwa sababu ya kuondoka kwa viongozi wake pekee kuwa sababu ila waliangukia pua pale fedha za uendeshaji chama zilipopungua na wakashindwa kuwalipa hata wabunge walioshindwa. CUF pia ingekuwa ktk matatizo kama haya sema tu wabunge wa Zanzibar ndio wameokoa jahazi laa sivyo ndio ilikuwa imetoka.
Sema tu kwamba kuwepo na kiwango maalum cha ruzuku kwa vyama vyote nchini na CCM irudishe mali za Umma ili nguvu ya chama itokane na michango ya wanachama pamoja na wananchi sio CCM kutumia mali za Umma kufanya biashara haramu. Na hakika kama chama wapigwe marufuku kabisa kujihusisha na biashara.