NBAA result for May 2012 are out

kama kawa pius maneno anachinja watu kama hana akili nzuri 62.5% ya watu waliofanya mitihani(module E) wamefail its terrible aise naanza kushawishika kuwa NBAA inafanya kama mradi wa kujipatia pesa haiwezekani idadi kubwa namna hiyo wafail mitihani hiyo
 
.....aise naanza kushawishika kuwa NBAA inafanya kama mradi wa kujipatia pesa haiwezekani idadi kubwa namna hiyo wafail mitihani hiyo

Jamaa wako makini, wako ki-professional zaidi kuliko ki-academic!!!. Tatizo lenu wanafunzi mshazoea kupewa hints na walimu wenu na kupata gpa kubwa kubwa!!! Kule nbaa hakunaga mambo ya kupewa hints, uelewa wako na kusoma kwako ndio vitakusaidia, hakuna ubabaishaji.

Mbona matokeo yanatisha jamani au ndo kukomoana


Kule hakuna mchezo!!!, usiposoma utafeli.
 
Hakuna suala la kupewa hints wala nini huwa wanatoa syllabus wewe jaribu kuangalia rate ya ufaulu na failures ndo utajua namaanisha nn haiwezekani idadi kubwa kiasi kile wafail vile zaidi ya robo tatu ina maana nchi yetu itaendelea kuwa na upungufu wa wataalamu wa fani hiyo ya uhasibu.Nafikiri kuna namna ya usahishaji mitihani na kuna vigezo wanaangalia jinsi mtu anavyojibu maswali
 
Hakuna suala la kupewa hints wala nini huwa wanatoa syllabus wewe jaribu kuangalia rate ya ufaulu na failures ndo utajua namaanisha nn haiwezekani idadi kubwa kiasi kile wafail vile zaidi ya robo tatu ina maana nchi yetu itaendelea kuwa na upungufu wa wataalamu wa fani hiyo ya uhasibu.Nafikiri kuna namna ya usahishaji mitihani na kuna vigezo wanaangalia jinsi mtu anavyojibu maswali

Tatizo siyo NBAA,ni hivyo vyuo vyenu visivyo serious.Watu wangekuwa wamesoma vizuri sylabus ya chuo hapo isingekuwa kazi kutoka!
 
kama kawa pius maneno anachinja watu kama hana akili nzuri 62.5% ya watu waliofanya mitihani(module E) wamefail its terrible aise naanza kushawishika kuwa NBAA inafanya kama mradi wa kujipatia pesa haiwezekani idadi kubwa namna hiyo wafail mitihani hiyo

Ndiyo ujue kizazi hiki vichwa vimejaa maji tu!
 
Nadhani hatujaelewana bado inawezekana vipi robo tatu ya waliofanya mitihani wafail ndo hoja yangu iko hapo
 
kama kawa pius maneno anachinja watu kama hana akili nzuri 62.5% ya watu waliofanya mitihani(module E) wamefail its terrible aise naanza kushawishika kuwa NBAA inafanya kama mradi wa kujipatia pesa haiwezekani idadi kubwa namna hiyo wafail mitihani hiyo


Unatoa takwimu zinazoilinda kada hii ya uhasibu, We have ethics and Standards that need to be adhered to. Quality is the major goal. Heri wafaulu 1% kuliko 99% wenye elimu za kuunga unga vyuoni. HUYU NDO MSEMA KWELI.....

"Proud to be an Accountant"
 
Hakuna suala la kupewa hints wala nini huwa wanatoa syllabus wewe jaribu kuangalia rate ya ufaulu na failures ndo utajua namaanisha nn haiwezekani idadi kubwa kiasi kile wafail vile zaidi ya robo tatu ina maana nchi yetu itaendelea kuwa na upungufu wa wataalamu wa fani hiyo ya uhasibu.Nafikiri kuna namna ya usahishaji mitihani na kuna vigezo wanaangalia jinsi mtu anavyojibu maswali

Samahani, sijuwi wewe ni muhitimu wa chuo au taasisi gani hapa duniani?
Kama ni muhitimu wa chuo kimojawpo hapa bongo, basi utakuwa unabisha kitu kilicho wazi kabisa, labda ni kwa vile umezoea kubisha.

Watahiniwa wengi wa vyuo vyetu hapa bongo wamezoea kupewa hints kabla ya mitihani. Ndio maana inakuwa ngumu kufauru mitihani inayoendeshwa na professinal boards kama vile nbaa, psptb
, sisco, acca, cisa, na mengineyo.
Na kama wewe si muhitimu wa chuo kimojawapo hapa bongo, basi waulize wanafunzi wenyewe watakueleza hiki kitu ninachokwambia.

Ili ufauru mitihani ya professional boards inakubidi usome na uelewe. Tafuta class reviews zenye walimu walimu wazur wakufundishe uelewe na sio ukari
ri
.

 
Samahani, sijuwi wewe ni muhitimu wa chuo au taasisi gani hapa duniani?
Kama ni muhitimu wa chuo kimojawpo hapa bongo, basi utakuwa unabisha kitu kilicho wazi kabisa, labda ni kwa vile umezoea kubisha.

Watahiniwa wengi wa vyuo vyetu hapa bongo wamezoea kupewa hints kabla ya mitihani. Ndio maana inakuwa ngumu kufauru mitihani inayoendeshwa na professinal boards kama vile nbaa, procurement board, sisco, acca, cisa, na mengineyo.
Na kama wewe si muhitimu wa chuo kimojawapo hapa bongo, basi waulize wanafunzi wenyewe watakueleza hiki kitu ninachokwambia.

Ili ufauru mitihani ya professional boards inakubidi usome na uelewe. Tafuta class reviews zenye walimu walimu wazur wakufundishe uelewe na sio ukari
ri.

Kwani hao examiners wa hizo professional bodies wenyewe wamesomea wapi, si vyo hivi hivi vya bongo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom