nyotanjema
Senior Member
- Sep 24, 2011
- 136
- 32
Habari zenu!
Naombeni msaada wa namna ya kupata mkopo wa haraka sana wa kiasi cha mln 5 hadi 10
Mimi nafanya kazi katika mashirika binafsi kwa miaka 6 sasa. Na shirika hili tunapewa mikataba ya mwaka mmoja mmoja, hivyo nimejaribu kwenda kwenye taasisi mbalimbali za mikopo naambiwa nipeleke dhamana, permanent contract, na vyote havipo.
Na nina uwezo wa kulipa 1, 000,000/= endapo nitapata mkopo na ningeweza kukusanya lakini majanga ni mazito sana
Mimi ni mtu mzima mwenye familia na nategemwewa na wazazi.
Naombeni msaada wa namna ya kupata mkopo wa haraka sana wa kiasi cha mln 5 hadi 10
Mimi nafanya kazi katika mashirika binafsi kwa miaka 6 sasa. Na shirika hili tunapewa mikataba ya mwaka mmoja mmoja, hivyo nimejaribu kwenda kwenye taasisi mbalimbali za mikopo naambiwa nipeleke dhamana, permanent contract, na vyote havipo.
Na nina uwezo wa kulipa 1, 000,000/= endapo nitapata mkopo na ningeweza kukusanya lakini majanga ni mazito sana
Mimi ni mtu mzima mwenye familia na nategemwewa na wazazi.