Ailars David
Senior Member
- Jul 6, 2017
- 128
- 35
Kutokana na kauli ya kuwa kufikia December kila mwenye line ya simu anatakiwa awe amejisajili kwa fingerprints
Sasa mimi naiona hii kama fursa nzuri
Naomben msaada wenu namna gani nitaweza kuwa wakala wa kuwasajili watu any line company pls
Sasa mimi naiona hii kama fursa nzuri
Naomben msaada wenu namna gani nitaweza kuwa wakala wa kuwasajili watu any line company pls