Nawezaje kutuma jambo moja kwa moja kwa Rais au Wasaidizi wa Rais?

Usisumbuke sana mkuu kwani kupitia uzi wako huu, Rais,wasaidizi wake na taasisi kwa ujumla watakuwa wameuona uzi wako watakujibu jinsi ya kufikisha mawazo yako kwa urahisi, nasema hivi kwa sababu kama wanaweza kuona matusi mitandaoni yanayowahusu sidhani kama watashindwa kuuona uzi wenye nia ya kushiriki kujenga Tanzania bora. Ni imani yangu mitandaoni hawako kwa ajili ya kutafuta matusi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuishi kwa kuhisihisi. Hiyo connection niitoe wapi?
Duh! Jinsi ulivyokuwa unaandika humu, Nilikuwa najua unakaa ikulu kabisa. Ok nimegugo nimepata hii

Anuani ya rais na namba na barua pepe

S.L.P 9120
Dar es salaam
Simu : 0222116898
Simu : 02222116900/6
Barua pepe : ikulu@ikulu.go.tz

Unaweza wasiliana na President kwa kutumia barua pepe: ikulu@ikulu.go.tz

1 Barabara ya Julius Nyerere, Chamwino, S.L.P. 1102, 40400 DODOMA
026-2961500/1
026-2961502
press@ikulu.go.tz


 
Duh! Jinsi ulivyokuwa unaandika humu, Nilikuwa najua unakaa ikulu kabisa. Ok nimegugo nimepata hii

Anuani ya rais na namba na barua pepe

S.L.P 9120
Dar es salaam
Simu : 0222116898
Simu : 02222116900/6
Barua pepe : ikulu@ikulu.go.tz

Unaweza wasiliana na President kwa kutumia barua pepe: ikulu@ikulu.go.tz



Asante.

Kwenye hizi email nilishawahi kutuma mail ila hawakujibu
 
Asante.

Kwenye hizi email nilishawahi kutuma mail ila hawakujibu
Nenda getini mwa ikulu kabisa na umsubirie. Dodoma au Dar

Au nenda dm ya account yake ya Instagram. Labda wasaidizi wake watakusaidia dm


Au mwambie waziri Gwajima. Yupo active humu jf akupe namba ya Samia. Au akupe connection ukutane na samia uso kwa uso.
Account yake ya jf ni Dkt. Gwajima D
 
Sasa hawa press si kurugenzi ya habari na mawasiliano?
Ndio ofisi mawasiliano yote...ya Rais barua zote email huwekwa file ...tiss huzipitia recomend pa kupelekwa.....huwa hawatupii.....tuma barua kawaida na barua pepe pia
 
Duh! Jinsi ulivyokuwa unaandika humu, Nilikuwa najua unakaa ikulu kabisa. Ok nimegugo nimepata hii

Anuani ya rais na namba na barua pepe

S.L.P 9120
Dar es salaam
Simu : 0222116898
Simu : 02222116900/6
Barua pepe : ikulu@ikulu.go.tz

Unaweza wasiliana na President kwa kutumia barua pepe: ikulu@ikulu.go.tz

1 Barabara ya Julius Nyerere, Chamwino, S.L.P. 1102, 40400 DODOMA
026-2961500/1
026-2961502
press@ikulu.go.tz


Humu chenga huwa hawajibu ila ajaribu kutuma kwa email ya Katibu Mkuu Kiongozi huko Mimi nimewai kufanikiwa.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Nina mawazo kuhusu mambo ya kuwekwa katika mpango mpya wa maendeleo wa Taifa.

Mawazo yangu siwezi kuyaweka humu maana inaweza yakaibwa na nchi nyingine hivyo kupelekea mambo hayo kwenda kufanya na nchi nyingine na sisi tukaendelea kubaki nyuma.

Nawajua watendaji wetu wengi, hawasomagi meseji wala kujibu message wanazotumiwa, ikiwemo kwenye social media zao.

Najua pia Rais amezuia kutumiwa direct message kwenye mitandao ikiwemo twitter na kwingineko.

Najua Rais yupo humu na Wasaidizi wake wapo humu pia.

Nataka kutuma haya mawazo. Naomba wanijibu nawafikieje?
Sanduku la mooni!
 
Nina mawazo kuhusu mambo ya kuwekwa katika mpango mpya wa maendeleo wa Taifa.

Mawazo yangu siwezi kuyaweka humu maana inaweza yakaibwa na nchi nyingine hivyo kupelekea mambo hayo kwenda kufanya na nchi nyingine na sisi tukaendelea kubaki nyuma.

Nawajua watendaji wetu wengi, hawasomagi meseji wala kujibu message wanazotumiwa, ikiwemo kwenye social media zao.

Najua pia Rais amezuia kutumiwa direct message kwenye mitandao ikiwemo twitter na kwingineko.

Najua Rais yupo humu na Wasaidizi wake wapo humu pia.

Nataka kutuma haya mawazo. Naomba wanijibu nawafikieje?
Mtumie WhatsApp yako huwa anajibu chap bila mbambamba.
Ukiendeleza naye sms mwisho wa siku utajikuta una view status zake.
 
Nina mawazo kuhusu mambo ya kuwekwa katika mpango mpya wa maendeleo wa Taifa.

Mawazo yangu siwezi kuyaweka humu maana inaweza yakaibwa na nchi nyingine hivyo kupelekea mambo hayo kwenda kufanya na nchi nyingine na sisi tukaendelea kubaki nyuma.

Nawajua watendaji wetu wengi, hawasomagi meseji wala kujibu message wanazotumiwa, ikiwemo kwenye social media zao.

Najua pia Rais amezuia kutumiwa direct message kwenye mitandao ikiwemo twitter na kwingineko.

Najua Rais yupo humu na Wasaidizi wake wapo humu pia.

Nataka kutuma haya mawazo. Naomba wanijibu nawafikieje?
Nenda tweets kisha weka picha ya muarabu kwenye profile yako kisha tuma ujumbe kwa SAMIA
 
Back
Top Bottom