Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 694
Waandishi wa Vitabu naombeni Mnielekeze
Nimeandika kitabu cha English Grammar kwa kushirikiana na Maprofessor wa will wa lugha hapo UDSM na Phd holder flan wa chuo cha Havard ambaye nilimuomba akipitie kukiboresha zaidi alipo kifanyia marekebisho duh..ata mm ikabidi nijifunze upya. So kitabu kipo kwenye softcopy.. Nimesha tafuta Kiwanda cha kukiprint
Ila naombeni waandishi wanipe ABC ya mchakato je Naanzia wapi kusupply? na je njia bora zaidi ya kumake follow up ili mapato yake yasivuje huwa mnafanyaje?
Vipi kihusu copyright?
Je, bei ya soko kwa sasa kwa kitabu cha A5 chenye page 56-60 kina kuwa kinauzika kwa bei gani na printing yake inachezea bei gani.
Je, supply point zinakuwa na Makubaliano gani? je mnasupply bookshop kwa mali kauli au mna wauzia kwa prepaid?
Naombeni Ujuzi wote muhimu kwa wanao jua.. nategema kukichapisha Kabla ya mwezi wa3 kuisha kiwe sokoni.
Nimetafuta Amazon wakaniambi ni weke Copyrigt page, Kuwe na ISBN code, kuwe na Tittle Page.. hivyo nikabaki najiuliza napataje hivi vitu ili Amazon wakubali kuniuzia uko duniani.
Mwenye anajua pakupata hivi vitu ajisaidie ujuzi na maelekezo.
Asanteni
Nimeandika kitabu cha English Grammar kwa kushirikiana na Maprofessor wa will wa lugha hapo UDSM na Phd holder flan wa chuo cha Havard ambaye nilimuomba akipitie kukiboresha zaidi alipo kifanyia marekebisho duh..ata mm ikabidi nijifunze upya. So kitabu kipo kwenye softcopy.. Nimesha tafuta Kiwanda cha kukiprint
Ila naombeni waandishi wanipe ABC ya mchakato je Naanzia wapi kusupply? na je njia bora zaidi ya kumake follow up ili mapato yake yasivuje huwa mnafanyaje?
Vipi kihusu copyright?
Je, bei ya soko kwa sasa kwa kitabu cha A5 chenye page 56-60 kina kuwa kinauzika kwa bei gani na printing yake inachezea bei gani.
Je, supply point zinakuwa na Makubaliano gani? je mnasupply bookshop kwa mali kauli au mna wauzia kwa prepaid?
Naombeni Ujuzi wote muhimu kwa wanao jua.. nategema kukichapisha Kabla ya mwezi wa3 kuisha kiwe sokoni.
Nimetafuta Amazon wakaniambi ni weke Copyrigt page, Kuwe na ISBN code, kuwe na Tittle Page.. hivyo nikabaki najiuliza napataje hivi vitu ili Amazon wakubali kuniuzia uko duniani.
Mwenye anajua pakupata hivi vitu ajisaidie ujuzi na maelekezo.
Asanteni