Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toa tenda ya kunyonyesha kwa watoto wasio na mama..
upate hela kwa kutumia hayo matiti...
halafu unaweza kushiriki kwenye
matangazo ya biashara ya bra
au vitu vingine kama hivyo...
JF Doctor,
nina swali kwako,mimi no binto wa miaka 35 ,nimeolewa na nina watoto wawili.Tatizo langu ni kuwa matiti yangu ni makubwa sana ,naomba unisaidie nifanyeje kupunguza matiti yangu kwa kuwa yananikosesha raha
JF Doctor,
nina swali kwako,mimi no binto wa miaka 35 ,nimeolewa na nina watoto wawili.Tatizo langu ni kuwa matiti yangu ni makubwa sana ,naomba unisaidie nifanyeje kupunguza matiti yangu kwa kuwa yananikosesha raha
Wewe upo dunia gani; bado hujajua kuwa matiti makubwa ni dili. Wenzio wanachoma sindano yawe makubwa wewe unataka kupunguza. Yaache hivyo hivyo mimi nayapenda!!!!!!!!!!!
mwambie jamaa apunguze kuyanyonya au ndo starehe yake pole xana au ka vipi fanya diet huwa yanapungua
Duh, yaani mie napenda sana demu mwenye matiti makubwa na sijali kama ameolewa au la. Usipunguze, iko siku Mungu atatukutanisha uone jinsi gani ulivyobahatika
Kwani ulipo search online umeshindwa pata jibu? Kama bado jaribu basi itakusaidia kujua na side effects na experience za watu waliofanya
toa tenda ya kunyonyesha kwa watoto wasio na mama..
upate hela kwa kutumia hayo matiti...
halafu unaweza kushiriki kwenye
matangazo ya biashara ya bra
au vitu vingine kama hivyo...
yani mmeo ameyapenda ndo akakuoa, afu we unataka uyakate!!?
POLE SANA,
KAMA YANAKUSABABISHIA MAUMIVU ONANA NA MADR ILI USHAURIWE NINI CHA KUFANYA.
ILA KUNA KITU SIJAKUELEWA ,UMEEJIITA (BINTO NAHISI ULIMAANISHA BINTI ) HUKU UKIWA NA MIAKA 35?
JAMANI HIVI MWANAMKE MWENYE MIAKA 35 ANASIFA YA KUJIITA BINTI KWELI ???.
mmmh!!! na wa miaka 15 atajiitaje?
<br />Nadhani sehemu ya mambo haya ipo ndani ya JF mapenzi na urafiki. Hapa ni political issues tu au co mazeee?
<br />Ni mama/mwanamke, binti ni under 18!
<br />niongezee kwenye ya kwangu maana naona hayanitoshi<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/love.gif" border="0" alt="" title="Love" smilieid="220" class="inlineimg" />
BINTI ni neno la kiarabu linalomaanisha jina lililotajwa ni la mwanamke kwa mfano Asha BINTI Kassim,Fatuma BINTI Rassuli.na kuonesha anayezungumziwa ni dume la mbegu tu100 neno BIN. Kwahiyo mtumiaji hajakosea.MNUU, hilo nalo neno umeona eeh! mimi mwenyewe nilitaka kuuliza but nikaona nitamkwaza bure, ila mwanamke aliyezaa sio binti tena jamani, na wasiozaa nao wajiteje?