Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Mkuu ni popote...nikiwa natumia fb app, jf na hata sms za kawaida!!
ninavyofahamu simu za qualcomm virusi havina ujanja vinakaa tu kama app ya kawaida.

nenda setting halafu apps halafu downloaded app angalia app usioijua halafu itoe
 
ninavyofahamu simu za qualcomm virusi havina ujanja vinakaa tu kama app ya kawaida.

nenda setting halafu apps halafu downloaded app angalia app usioijua halafu itoe
Uko sahihi Chief ila mi nadhani ili kuepusha usumbufu zaidi angefanya factory reset...... haya matatizo huwa ni ya mediatek kama low end za huawei na tecno..... sijawahiona hii shida kwa qualcom.
 
ninavyofahamu simu za qualcomm virusi havina ujanja vinakaa tu kama app ya kawaida.

nenda setting halafu apps halafu downloaded app angalia app usioijua halafu itoe
Bila shaka ni note fake yenye processor ya mediatek, nina experience ya kuletewa simu kama hizi kama tatu hivi, pamoja na kuflash kwa kutumia stock rom bado zilijirudia hii tabia
 
Uko sahihi Chief ila mi nadhani ili kuepusha usumbufu zaidi angefanya factory reset...... haya matatizo huwa ni ya mediatek kama low end za huawei na tecno..... sijawahiona hii shida kwa qualcom.
kikijieka kama system app hata ukifanya factory reset haisaidii sababu tayari kinakuwa ni part ya firmware
 
Aisee ww ume subscribe kwenye dating sites ndo mana unaona madudu ivo check browser sehemu ya ads on remove hizo unwanted Plugin kama una root access hebu tafuta apps ya kuitwa ads away/Blocker iko goooood
 
hyo ni virus tena unakutakna app umeipa uadminstration kabisa ndo inayokufanyia huo ujinga so kabla ujachukua hatua zozote kubwa nenda kwanza kwenye admin apps utaiona hyo app ambayo inatick itoe uadmin then unstall hyo app
lakin cku nyingine kuwa makin unavyo kubalikubali kuinstall vitu ucvyovijua

ndhani itakusaidia kureset au kuflash iwe option ya mwisho
 
Hilo tatizo linatokea kwasababu kuna application umezi install zinazo ruhusu ads kwenye screen na hii hutokea baada ya kuwasha data tu basi ads zina move kwenye screen

Unachotakiwa kufanya nenda kwenye kila application uliyo install afu nenda kwenye application info afu switch off notification ikishindikana tumia opera min browser kwenye setting kuna sehemu ya kublock ads

Kila laheri unapotumia smartphone yako
 
Ondoa app zote zinazoruhusu adds hapo utakua umetatua tatizo lako...
 
Hilo tatizo linatokea kwasababu kuna application umezi install zinazo ruhusu ads kwenye screen na hii hutokea baada ya kuwasha data tu basi ads zina move kwenye screen

Unachotakiwa kufanya nenda kwenye kila application uliyo install afu nenda kwenye application info afu switch off notification ikishindikana tumia opera min browser kwenye setting kuna sehemu ya kublock ads

Kila laheri unapotumia smartphone yako

Hili ndio jibu sahihi kabisa...!!
 
Hilo tatizo linatokea kwasababu kuna application umezi install zinazo ruhusu ads kwenye screen na hii hutokea baada ya kuwasha data tu basi ads zina move kwenye screen

Unachotakiwa kufanya nenda kwenye kila application uliyo install afu nenda kwenye application info afu switch off notification ikishindikana tumia opera min browser kwenye setting kuna sehemu ya kublock ads

Kila laheri unapotumia smartphone yako
Ahsante, ngoja nijaribu na mie make nakereka kupita maelezo
 
Habari waungwana,
Nimeformat juzi simu/android yangu ila baada ya kuweka tena gogle account kama kawaida na ku download apps kwa matumizi yangu simu imegeuka uwanja wa matangazo!
Yaani haipiti dk. 2 au 3 kabla hayajatokea matangazo. Tena mbaya zaidi mengine yanakuwa makubwa hadi yanaziba screen na hayaondoki hata ukitumia home button.
Pia kuna vi apps vingi vinajidownload vyenyewe yaani simu haina hata raha kuishika. Mb zangu zinawahi kuisha kwa ajili ya hii kitu.
Naombeni msaada wenu ndugu zangu maana sina hata hamu na hii simu. Hapa naimetumia dk.30 hivi jinsi yanavyosumbua.
Mbarikiwe sana
 
Back
Top Bottom