Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

mkuuu MimiTena umetoaa maelezo mazuri sana... lakini while unawaambia kuhusu hii kitu ya rooting ningeombaa uwajulishe wakati wanafanya rooting... simu iwe charge asilimiaa ngapi... maaana mtu mwingine atakupukaa tuuu ama charge 20% anaanza kuroot....
 
Last edited by a moderator:
mkuuu MimiTena umetoaa maelezo mazuri sana... lakini while unawaambia kuhusu hii kitu ya rooting ningeombaa uwajulishe wakati wanafanya rooting... simu iwe charge asilimiaa ngapi... maaana mtu mwingine atakupukaa tuuu ama charge 20% anaanza kuroot....

hata hyo asimia 20 kwa apps kama framaroot inaroot mbona sekunde tu..wala sio kesi kikubwa unaroot kwa kutumia njia gan....
 
Last edited by a moderator:
Kwa ushauri bora iwe zaidi ya 50% .
Kuna simu nyingine ukimaliza kuroot kama ilikuwa na asilimia 30 ukiizima na kuiwasha (reboot) utakuta asilimia 5 hadi 10.
 
hata hyo asimia 20 kwa apps kama framaroot inaroot mbona sekunde tu..wala sio kesi kikubwa unaroot kwa kutumia njia gan....

Ooohh nimekupata mkuu... Thanks,, bt naombaa niulize swali ,, nili root simu yangu s4 one month ago.. Bt ishu ni kwamba siwezi kuifanyiaa updates,, napo enda kwenye setting then about phone nikiingia pale kwenye updates software naambiwa : device imekuwa modified so siwezi kuiupgrade,, nimejaribu kuireset mara kadhaa lakini naona bado tatizo lipo pale pale,, bt simu imekuwa rooted 100% (nipo kama superuser),,
Sijui unaweza nipa njia nyingine mkuu... Kama unaifahamu..
 
Ooohh nimekupata mkuu... Thanks,, bt naombaa niulize swali ,, nili root simu yangu s4 one month ago.. Bt ishu ni kwamba siwezi kuifanyiaa updates,, napo enda kwenye setting then about phone nikiingia pale kwenye updates software naambiwa : device imekuwa modified so siwezi kuiupgrade,, nimejaribu kuireset mara kadhaa lakini naona bado tatizo lipo pale pale,, bt simu imekuwa rooted 100% (nipo kama superuser),,
Sijui unaweza nipa njia nyingine mkuu... Kama unaifahamu..

Mara nyingi ukisharoot simu inakua huwez ku update kwa style hiyo...njia rahisi kama unataka update ni unatakiwa kudownload firmware ya version husika kisha unaflash kwa kutumia odin then unakua umemaliza mkuu...
 
Mara nyingi ukisharoot simu inakua huwez ku update kwa style hiyo...njia rahisi kama unataka update ni unatakiwa kudownload firmware ya version husika kisha unaflash kwa kutumia odin then unakua umemaliza mkuu...

thanks mkuu lakini... hii njiaaa si nitapotezaaa vitu vilivyopo kwenye simu yangu nikiwa na maaana apps, (media files) audio, videos na photos....
 
thanks mkuu lakini... hii njiaaa si nitapotezaaa vitu vilivyopo kwenye simu yangu nikiwa na maaana apps, (media files) audio, videos na photos....

Fanya full backup kwanza kama tahadhali pale utakapokosea uweze kurestore katika point uliyokuwepo awali.
 
thanks mkuu lakini... hii njiaaa si nitapotezaaa vitu vilivyopo kwenye simu yangu nikiwa na maaana apps, (media files) audio, videos na photos....

fanya backup kama ulivyo ambiwa..ila mara nyingi media files huwa zinabaki..ila kwa taadhar tu fanya backup before you start .
 
naombeni msaada kwenye setting au kama kuna apps ya kuzuia hayo matangazo
 
Wajameni,, msaada kuzuia matangazo mbalimbali yanayojitokeza kwenye Smart fone kama Screen saver mf matangazo kudownload KUPATANA Apps n.k
yananikela na kunimalizia viMB 8 vyangu
 
MASTAMIND
hyo ni dalili ya virus wameshaanza kuaffect simu kwanza naweza kukusaidia lakn ningependa kujua sim yako ni aina gan


Matangazo haya yanatokea simu ikiwa iko data on na haitumiki na hasa inatokana na kua na apps za km ile ya refresh na flash keyboard.

Simu yangu GALAXY AU
 
BAADA YA HAPO SIMU ZENU H6 NA A7 ZITAANZA KUDOWNLOAD APPLICATION ZENYEWE NA KUWA ZA MOTO ZAID KWA HYO TOP SOLUTION YA HYO TATIZO NI KUINSTALL NEW FIRMWARE
 
Back
Top Bottom