Unatumia simu gani? Tayar inaonekan una malware humo kweny simu...njia ya uhakika ili kuwatoa ni kuiflash tuHabari waungwana,
Nimeformat juzi simu/android yangu ila baada ya kuweka tena gogle account kama kawaida na ku download apps kwa matumizi yangu simu imegeuka uwanja wa matangazo!
Yaani haipiti dk. 2 au 3 kabla hayajatokea matangazo. Tena mbaya zaidi mengine yanakuwa makubwa hadi yanaziba screen na hayaondoki hata ukitumia home button.
Pia kuna vi apps vingi vinajidownload vyenyewe yaani simu haina hata raha kuishika. Mb zangu zinawahi kuisha kwa ajili ya hii kitu.
Naombeni msaada wenu ndugu zangu maana sina hata hamu na hii simu. Hapa naimetumia dk.30 hivi jinsi yanavyosumbua.
Mbarikiwe sana
Ingia setting,nenda kwenye app,force stop app zote ambazo huzitumii ,pia chukua cleanmaster play store inasaidia,au ingia facebook tembelea page ya tekno kona utapata suluhisho
Mkuu nilisikia TCRA wanapuga bit kwamba ukiflash simu haifanyi kazi. Nisije nikakosa kasimu kangu hakaUnatumia simu gani? Tayar inaonekan una malware humo kweny simu...njia ya uhakika ili kuwatoa ni kuiflash tu
Hata niki force stop zinatulia kwa muda ila zinaanza tena after sometime.Ingia setting,nenda kwenye app,force stop app zote ambazo huzitumii ,pia chukua cleanmaster play store inasaidia,au ingia facebook tembelea page ya tekno kona utapata suluhisho
Nenda tekno kona kuna kila tatizo na solution yake ,utapata kitu...Hata niki force stop zinatulia kwa muda ila zinaanza tena after sometime.
Sent from my TECNO M6 using JamiiForums mobile app
Sio kweli.Mkuu nilisikia TCRA wanapuga bit kwamba ukiflash simu haifanyi kazi. Nisije nikakosa kasimu kangu haka
Sent from my TECNO M6 using JamiiForums mobile app
Ipo play store au?Download and install app ya adson
Naomba Nfafanulie Kidogo, Mi Siyo Mtaraam kk, ahsanteKaburi la ads ni kuroot simu tu then unaistall adaway au adblocks.
Yaani Nikisha Washa Data, Simu Inasumbua Sana, Inaleta Matangazo Mengi Mpaka Nashindwa Download Vitu, Yaani ninavyo Bonyeza Iingie Sehemu Fulani, Inaenda Kungine, Yaani Sipendi, Duh!! Haya Matangazo mi siyapendi hata kidogo