Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Nlikuwa na simu ya wife mpaka alitaka kuitupa maana nimehangaika nayo kureset to factory. Ukiwasha data tu yanakuja mpaka inastuck. Dawa hapo nenda kaflash kwanza halafu usidownload kila unachokiona mbele yako
 
kuna apps kama
adaway,
adblock plus,
adclear n.k
kama simu yako umeiroot ila kama hujairoot unaweza ukagoogle adaway(no root)apk or adclear(no root)apk
Siku nyingine jaribu kufanya research kidogo kwa kugoogle au kusearch baadhi ya tutorial youtube wameelezea hii kitu.
 
Yaani Nikisha Washa Data, Simu Inasumbua Sana, Inaleta Matangazo Mengi Mpaka Nashindwa Download Vitu, Yaani ninavyo Bonyeza Iingie Sehemu Fulani, Inaenda Kungine, Yaani Sipendi, Duh!! Haya Matangazo mi siyapendi hata kidogo
Solution hapo ni kuweka os mpya tu
 
Yaani Nikisha Washa Data, Simu Inasumbua Sana, Inaleta Matangazo Mengi Mpaka Nashindwa Download Vitu, Yaani ninavyo Bonyeza Iingie Sehemu Fulani, Inaenda Kungine, Yaani Sipendi, Duh!! Haya Matangazo mi siyapendi hata kidogo
Inategemeana na cm ila najua hiyo atakua android ya promotion i mean n ya kampun fulan ya mtandao wa cm au umeinstall adson
Kuna njia nyingi

1 root cm ako tumia kingo kwangu is best
2 instal noads baada ya ku root
Ila kuna njia nyingine kama unautaalam kdg wa sm tumia mtk ya cm kuna optn hiyo


NB; ni mtazamo tuu waulize wataalamu zaidi wapo humu watakusaidia.
 
Aende akaflash tu asijisumbue. Abadilishe os basi ndo mwisho wa matatizo yako
 
Mm nimeiroot cm lakini matangazo.yanakuja niweke nn ili yatoke kabisa mkuu maana yanaudhi
 
Huo ugonjwa unashambulia zaidi wanyama wa jamii ya tecno,nawale wenye kupenda kuingia kwenye link wasizozijua
 
Yaani Nikisha Washa Data, Simu Inasumbua Sana, Inaleta Matangazo Mengi Mpaka Nashindwa Download Vitu, Yaani ninavyo Bonyeza Iingie Sehemu Fulani, Inaenda Kungine, Yaani Sipendi, Duh!! Haya Matangazo mi siyapendi hata kidogo
Watu wengi mnapenda kujulisha tatizo la simu bila kutaja aina ya simu hayo matatizo kwenye simu nyingine hayapo tumechoka kuwaulizeni aina za simu
 
Mm nimeiroot cm lakini matangazo.yanakuja niweke nn ili yatoke kabisa mkuu maana yanaudhi
kuna hizi apps zinaweza kuondoa hilo tatizo
adaway
adblock plus
adclear n.k
jaribu kugoogle mkuu zipo nyingi
hata lucky patcher ni nzuri kuna option ya kublock Goole ads
 
Sm yangu ni LG FLEX AT&T ngoja nijaribu nitaleta mrejesho
 
Sm yangu ni LG FLEX AT&T ngoja nijaribu nitaleta mrejesho
040d51967f0cc9de9a72a3770ff3df8f.jpg
 
kama msaada tu,

Ni hatari sana kudownload application yeyote nje ya playstore kama hauna uhakika na sources yake.
Application hizi mara nyingi huwa ni malware and sometimes viruses and ads.
 
Habari zenu wana Jamvi.

Nina tatizo moja linalonisumbua,Tatizo hili yawezekana likawepo kwenye simu za wengine pia.Simu yangu nikifungua Data na nikifungua Internet inaleta matangazo ambayo si tu yananikera kwa kuniharibia program zangu bali mengine yananitia aibu kwani inaleta matangazo ya wadada walio uchi na wengine wanasex.

Naomba msaada kama kuna njia ya kuzuia matangazo haya yasitokee
 
Factory reset ,afu usidownload software's kwenye sources zisizo rasmi ,usingie site za ajabu ajabu...
Factor reset itafuta kila kitu utaanza upya...
 
Factory reset ,afu usidownload software's kwenye sources zisizo rasmi ,usingie site za ajabu ajabu...
Factor reset itafuta kila kitu utaanza upya...
Factory reset haitoi adware..maana wanajieka kama system app ,solution ya uhakika ni kuweka rom mpya..
 
Habari zenu wana Jamvi.Nina tatizo moja linalonisumbua,Tatizo hili yawezekana likawepo kwenye simu za wengine pia.Simu yangu nikifungua Data na nikifungua Internet inaleta matangazo ambayo si tu yananikera kwa kuniharibia program zangu bali mengine yananitia aibu kwani inaleta matangazo ya wadada walio uchi na wengine wanasex. Naomba msaada kama kuna njia ya kuzuia matangazo haya yasitokee
Unatumia simu gan
 
Ukikuta notification long press it (ibonyeze na uishikilie kwa muda) ije option ya App Info. Hapo utaona app gani inaleta hiyo notification kisha utaweza kuiunistall

Pia unaweza ukaenda Settings > Applications > Running applications. Tazama apps zinazorun hapo na kama kuna usiyoielewa itafute kwenye All Applications ui-uninstall
 
Back
Top Bottom