Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

Mimi iyo ad away haifanyi kazi. Ina fail ku download hostfiles. Je ni app gani nyingine?

NB:
SIMU IPO ROOTED
 
Naomba nitangulize salamu wakuu wangu!

Siku za hivi karibuni simu yangu imekuwa inaleta pop-ups za matangazo mengi sana zikiwepo na apps nyingine zinazojidownload zenyewe mara tu ninapokuwa online. Nini nifanye kuondoa hili?

Msaada wakuu zangu.
 
Ili kuondoa matangazo kwenye simu yako inakubidi kwanza uiroot simu yako. Ukimaliza kuroot download adway au adfree apk kwenye blowser yoyote na uinstall kwenye simu husika. Ifungue hiyo app fuata maelekezo hadi utakapomaliza.
 
Ili kuondoa matangazo kwenye simu yako inakubidi kwanza uiroot simu yako. Ukimaliza kuroot download adway au adfree apk kwenye blowser yoyote na uinstall kwenye simu husika. Ifungue hiyo app fuata maelekezo hadi utakapomaliza.


Nipe procedures mkuu wangu please, step by step. Wengine hatupo vizuri sana kwenye haya mambo
 
Mkuu zipo mbili zote hivyo hivyo.

Samsung Galaxy Tab 2 GT-P3100 na
Lenovo S860


http://androidxda.com/root-samsung-galaxy-tab-2-7-0.
Kwa Samsung Galaxy tab na Lenovo download Kingroot apk kwenye simu yako , install halafu uifungue app hiyo ikifunguka utaona sehemu yenye kiduara katikati bonyeza hapo iache hadi itakapo leta alama ya vema. Kumbuka kingroot ina maelezo kwa lugha ya kichina usihofu fuata maelekezo.
 
How to root Samsung Galaxy Tab 2 GT-P3100.
Kwa Samsung Galaxy tab na Lenovo download Kingroot apk kwenye simu yako , install halafu uifungue app hiyo ikifunguka utaona sehemu yenye kiduara katikati bonyeza hapo iache hadi itakapo leta alama ya vema. Kumbuka kingroot ina maelezo kwa lugha ya kichina usihofu fuata maelekezo.


Akhsante kwa maujanja mkuu, ngoja nitest nione itakuwaje na nitakujulisha haphapa jamvini.
 
Back
Top Bottom