Nawezaje kuondoa matangazo kwenye android?

ROOTING ASCEND Y300
  • Kwanza hakikisha simu yako siyo netwok locked [ mfano hizi za tigo ni network locked]
  • Hivyo kama ipo locked kwa mtandao mmoja ifanyie kwanza unlocking.
  • Kisha fuatisha haya maelekezo
  • Nimeshafanyia rooting y300 kwa zaidi ya simu tatu
  • Kwa kuFuata maelekezo ya kwenye hizi link:


  • Hakikisha umedownload faili zote zinazotakiwa kwanza
  • Soma japo mara mbili kwa umakini ndipo uanze zoezi la Rooting
Maelekezo kwenye hizo link yapo wazi na yanaeleweka, Feedback ukifanikiwa
Karibu.
Hivi huawei y300 inaweza kuwa rooted na hii vRoot bila matatizo?
hao huawei kuna ku unlock bootloader nasikia kabla ya ku root hivo sidhani kama single click apps kama hizo zinakubali
Bootloader yangu iko unlocked, nmeijaribu vRoot imekataa
siku zote ukitaka ku-root simu yako simpy google "Y300 root" yaani simu yako ikifatiwa na neno root...
kabla ya kufata hiyo hatua soma comments watu wakitaja shida zilizowakuta

Ref:
 
ROOTING ASCEND Y300
  • Kwanza hakikisha simu yako siyo netwok locked [ mfano hizi za tigo ni network locked]
  • Hivyo kama ipo locked kwa mtandao mmoja ifanyie kwanza unlocking.
  • Kisha fuatisha haya maelekezo






Ref:

Thanks, nimeweza fanya rooting succesiful,ila kuna some inbuilt apps ambazo sizitaki,nmefanikiwa kuziondoa chache kwa kutumia Clean Master ila baadhi zmekataa, it's time to block Ads now
 
  • Hongera mkuu kwa kufanikiwa.
  • Thanks kwa kutuletea mrejesho
  • Je hizo zilizokataa ni zipi?
Thanks, nimeweza fanya rooting succesiful,ila kuna some inbuilt apps ambazo sizitaki,nmefanikiwa kuziondoa chache kwa kutumia Clean Master ila baadhi zmekataa, it's time to block Ads now
 
  • Hongera mkuu kwa kufanikiwa.
  • Thanks kwa kutuletea mrejesho
  • Je hizo zilizokataa ni zipi?

Zilizokataa ni Google Talk(Recently updated to Hangouts), na Google Chrome, ila nmefanikiwa kuziondoa Google+, Google Search, Youtube, na Maps,ambazo naweza kuziinstall now kama user applications. Lakini nadhani zimekataa for a reason,probably zikitoka zitasababisha other apps to misbehave,Thanks anyway nmeipata AdAway app na sioni tena Ads kwenye Offline apps na zingine ambazo nilikua napata tabu to slap ads muda wote.
 
thanks, nimeweza fanya rooting succesiful,ila kuna some inbuilt apps ambazo sizitaki,nmefanikiwa kuziondoa chache kwa kutumia clean master ila baadhi zmekataa, it's time to block ads now

una maamuz thabiti.
Mimi huawei y 220 nime install root master ,na frama root ila nimejaribu frama root nikaelekea kwenye super user habari zikaanza kuja ambazo sizielew lol! Nimeacha huo mchezo wa kuroot .
Ila ilianza kuniletea habari kuhusu android data recovery ...yan ndo nikachanganyikiwa kabisa huku roho juu juu.
Mmmh rooting niliipenda ila uwoga umenipenda zaid
 
una maamuz thabiti.
Mimi huawei y 220 nime install root master ,na frama root ila nimejaribu frama root nikaelekea kwenye super user habari zikaanza kuja ambazo sizielew lol! Nimeacha huo mchezo wa kuroot .
Ila ilianza kuniletea habari kuhusu android data recovery ...yan ndo nikachanganyikiwa kabisa huku roho juu juu.
Mmmh rooting niliipenda ila uwoga umenipenda zaid
Offcoz uoga kidogo unakuepo,ila tu cha msingi hakikisha tu kuwa uko aware na kile unachotaka kufanya,usi-attempt kufanya kitu usichokijua au huelewi matokeo yake yatakuaje,ndio maana ukiona mambo ndivyo sivyo lazima tu utadata, anyway further more kuna app iko playstore inaitwa System app uninstaller, imenisaidia kuondoa GTalk na Chrome Pia, na zingine kibao ina uwezo wa kuzitoa na uzuri wake haifuti direct,ila ina recyclebin incase u messed up unaweza retrieve tu ukareinstall.
 
Offcoz uoga kidogo unakuepo,ila tu cha msingi hakikisha tu kuwa uko aware na kile unachotaka kufanya,usi-attempt kufanya kitu usichokijua au huelewi matokeo yake yatakuaje,ndio maana ukiona mambo ndivyo sivyo lazima tu utadata, anyway further more kuna app iko playstore inaitwa System app uninstaller, imenisaidia kuondoa GTalk na Chrome Pia, na zingine kibao ina uwezo wa kuzitoa na uzuri wake haifuti direct,ila ina recyclebin incase u messed up unaweza retrieve tu ukareinstall.

Sasa superuser inakubali na inaandika successfull . Ina nielekeza katika ku re boot.
Nime re boot ila sion kinachoendelea...msaada tafadhal
 
Huawei Y511-T00 haina preinstalled apps kama vile google+,google play service,google play store almost haisupport apps nyingi za google halafu ina baadhi ya apps za kichina pia naomba kujua jinsi ya kuangalia kama divice iko rooted or not msaada pliziiiiii
 
Huawei Y511-T00 haina preinstalled apps kama vile google+,google play service,google play store almost haisupport apps nyingi za google halafu ina baadhi ya apps za kichina pia naomba kujua jinsi ya kuangalia kama divice iko rooted or not msaada pliziiiiii

Angalia kama kuna App ya SuperUser ipo installed? Au download App za Rootchecker from playstore zita-examine na kukwambia kama your phone is rooted or not,
 
Angalia kama kuna App ya SuperUser ipo installed? Au download App za Rootchecker from playstore zita-examine na kukwambia kama your phone is rooted or not,

Mkuu nimedownload root checker nilivocheck inaniandikia kwamba"Sorry!this device does not have proper root access
 
Back
Top Bottom