miami0101
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,336
- 1,275
Tecno znatatzo ilo mimi nliiuzaga ilikua na shda hiyoTecno J7
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Tecno znatatzo ilo mimi nliiuzaga ilikua na shda hiyoTecno J7
Yanatokea mda gan?hivi jamani nawezaje kuzuia matangazo kwenye simu yangu ya samsung s4
Sent using Jamii Forums mobile app
Root weka adblockhivi jamani nawezaje kuzuia matangazo kwenye simu yangu ya samsung s4
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna app kama fb jmforum n.k na nikitoa lock tuuu matangazo yanakujaHizo ad zinatokea wapi? Kwenye notification bar?
Kama ndio....jaribu ku press and hold kwa sekunde kadhaa itakuonyesha ni app gani inakuletea hayo matanagazo.
Unaweza pia kuifanyia factory reset simu yako, ukajaribu kurudisha apps moja baada ya nyingine ukijipa mda in between kujua ni app gani inakuletea Hizo ads.
***Usisahau ku Save na Ku Back up vitu vyako muhimu. Kabla ya factory reset.***
sasa ni app ipi naweza itoa au naijua aje wakat app ninazo tumia ni zile za umuhimu tuuuUtakuwa una app kwenye simu yako inayoleta matangazo,sim kama sim haina matangazo.Jaribu kupunguza apps.
Philips X2560
It's possible, jaribu kuzipakua upya. Hizo mbili kwa nyakati tofauti. ...kuna app kama fb jmforum n.k na nikitoa lock tuuu matangazo yanakuja
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ni app ipi naweza itoa au naijua aje wakat app ninazo tumia ni zile za umuhimu tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
ninapo fungua app kama fb n. k au wakati wa kutoa lockYanatokea mda gan?
hivi jamani nawezaje kuzuia matangazo kwenye simu yangu ya samsung s4
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo inabid uichunguze sim yako.sasa ni app ipi naweza itoa au naijua aje wakat app ninazo tumia ni zile za umuhimu tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Iroot simu halafu download app ya adblock itakuwa inazuia hizo ads.
ndio sasa vipi naweza iroot msaada wako please maana nakereka sanaIroot simu halafu download app ya adblock itakuwa inazuia hizo ads.
Hiyo s4 yako ni OG?