Nawezaje kubadilika?


Mkuu nahisi unahitaji jibu ya NDIO basi ngoja nikujibu NDIO ili uridhike....
 
Jitahidi walau uweke kaukatili kidooogo tu;
Hata kama haujazaliwa nao lakini jaribu tu kuapply.

Mara zote watu wa hivyo huwa hatufanikiwi sana kimaisha;
Nimejifunza sana kutokana na hilo.

Asante kwa ushauri mkubwa Mamie... Ndio naanza kuona kwanini Tajiri haachi hata 200/= yake!
 
huwezi balika hiyo ni mipango ya mungu......fanya wema sepa.....napitaaaaaaaaaaaaa
 
Unapoomba kitu kwa kawaida kuna mawili...kukubaliwa na kukataliwa...sasa unaposema unaenda kumuomba mtu kitu halafu unahisi uwezo anao na wakati ameshakuambia hana hapo si mnatafutana ubaya??? Shida inaanza pale mtu anakua na majibu yake kichwani tayari halafu anataka majibu ya kichwani kwake ndo apewe....
 
Eeeeee makubwaa nishachambwaa wapii miee ,!!!?umbea umenifundisha we ni mwalimu wangu,halaf shoga mi wa ninii,wa mtaani wananitosha hapa tunapiga udaku tu ili siku ipite

Ebu njoo kule pm, acha mbwe mbwe binamu
 
Matola mwongo hata hela ya vocher anapewa na shemeji yake...hapa anatafta kiki hilo tutusa
 
Last edited by a moderator:
Kuwa na msimamo katika maamuzi, usitende jambo kutegemea fadhila kwani binadamu twatofautiana...Una moyo wa huruma mh!
 
i think mtu anazaliwa nacho/kiko kwenye damu ni ngumu kubadilika,mimi imekuwa inanitokea sana,hadi watu wangu wa karibu wananisema kuwa sikomi,yani nakuwa mwepesi sana kumuamini mtu anaponilalamikia shida,na inakuwa vigumu kumkatalia,mtu analalamika ana shida na kiasi fulani,anaahidi kunirudishia kipindi fulani lakini unakuta harudishi au anarudisha pungufu,lakini atatokea mwingine ntamsaidia tena na wakati bado kuna madeni sijarudishiwa,hadi huwa sijielewi kwa kweli,au naweza kumsaidia mtu kitu kitakachoni cost hata muda & ela,kwa mtu wangu wa karibu kumkatalia kitu ambacho naona naweza kumsaidia huwa nashindwa kabisaaaaaaaaa
 
Hujachelewa kabisa;
Mie niliamua kuwa from jan this year
sitaangalia kitu zaidi ya msiba na ugonjwa;

But imekaa vizuri tu, naona kama naweza kufanya
kitu ninachopenda kukifanya.

[/B]
Mamndenyi hapa umeongea kapoint maana na mimi nimekuwa na hii tabia sana lakini naona kama na-step back vile.

Ebu nianze kuaply ushauri wako aisee, i hope sijachelewa
 
zamani nilikuwa kama wewe ila siku hizi nimekuwa mgwadu. kauzu kama dagaa. fanya yaliyo ndani ya uwezo wako daughter, ukijitoa sana kwa mtu ndio madhara yake hayo maumivu.

mkuu, itabidi nami niwe kama wewe. afu watu wakikuona unatoa misaada sana hutumia nafasi hiyo kukuzika hela. kuna jamaa nimemdai hela zangt
hadi nimeamua kumuacha. hela anazo lakini hataki kunilipa. ogopa sana hao watu wanaopenda kupokea misaada kutoka kwa watu wengine--wao ni wagumu sana kutoa vya kwao au kulipa madeni halali waliyokopa. dunia hii ni ya ajabu sana.
 

well said mkuu. naona hata mimi umenisemea pia. baadhi ya mijitu siyo ya kuiendekeza--inaudhi sana. mimi nishazikwa hela nyingi sana na watu lakini mimi nikipata shida hawanisaidii hata kidogo ijapokuwa wana uwezo wa kunisaidia.
 

kukopa harusi kulipa matanga. halafu haya mambo yako hivi: watu wanaopenda kupokea kutoka kwa wenzao, ni wagumu sana kutoa. hata wakikopeshwa kulipa inakuwa mbinde. hiyo ndio principle.
 

mkuu, umenifundisha somo muhimu sana. eti mtu anaacha mke kijijini anakuja kupumzika mjini? timulia mbali!!!!!
 
Pole sana....

Kibongobongo ukikopesha hesabu kama umetoa sadaka tu..... kurudi majaliwa

ndio maana nimeacha kukopesha. mtu akiniomba nimkopeshe 3k naahidi kumsaidia 1k tunamalizana na kusahauliana for good. nakuwa nimeokoa kudhulumiwa 2k.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…