Agustin jr
Member
- Jun 15, 2020
- 28
- 15
- Thread starter
- #41
Ntapata zero form six, kwasababu gani kaka naomba unijuze,na naomba unisaidie ni Nini maana ya BAED maana Kuna mtu kaniambia aliachana na science na kwenda kusomea hiyo baed artUnaitafuta zero form six inawezekana bahati mbaya ila ukumbuke kuna bam yaani hesabu utazikuta na kemia ina vi element vya hesabu kidogo...
Unabadilishia shule ila sidhani km watakubali kwenye shule za serikali mtu mwenye f ya hesabu kusoma sayansi