Hmmmmmm kuliko kifaransa mkuu? Ukikielewa,hata kukiandika tu!! Kizuri kwa kutongozea. Mwanamke anaejua kifaransa,ndo anaejua melodi ya maneno yake aiseLugha ya mahaba
Hmmmmmm kuliko kifaransa mkuu? Ukikielewa,hata kukiandika tu!! Kizuri kwa kutongozea. Mwanamke anaejua kifaransa,ndo anaejua melodi ya maneno yake aiseLugha ya mahaba
nenda utube utajifunza haraka sana na mimi ndio nilipojifinziaNapenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?