Naweza Kusafiri Dar to Moshi na gari ya Vitz?

Naweza Kusafiri Dar to Moshi na gari ya Vitz?

Mimi toka nizaliwe sijawahi ona mchaga anayemiliki Vitz mleta mada ni wa kwanza .Wachaga wana magari ya uhakika
Hiyo takataka yako usiende nayo moshi
 
Wajuzi wa safari za masafa ya kati na marefu nijulisheni

Naweza kusafiri na vitz new model kutoka Dar hadi moshi?

Huwa nazunguka nacho tu hapa jijini tu mizunguko ya hapa na pale Sina uzoefu wa kutembea na gari kama hii masafa marefu zaidi nilishatoka tu nayo hadi Turiani morogoro

Vipi kwa moshi Kilimanjaro naweza kusafiri na hii vitz maana December ya kuhesabiwa ndo imeingia



NB:WAJUZI TU WAKOMENT KEJELI NA DHARAU SITAKI KAMA HUWEZI SHAURI KAUSHA
hapa mwishoni umetufokea sana,ila nashauri kama hiyo vitz itaenea kwenye begi inshallah utafika nayo
 
Watu wanakwenda na toyo, wewe unaongelea Vitz
Wajuzi wa safari za masafa ya kati na marefu nijulisheni

Naweza kusafiri na vitz new model kutoka Dar hadi moshi?

Huwa nazunguka nacho tu hapa jijini tu mizunguko ya hapa na pale Sina uzoefu wa kutembea na gari kama hii masafa marefu zaidi nilishatoka tu nayo hadi Turiani morogoro

Vipi kwa moshi Kilimanjaro naweza kusafiri na hii vitz maana December ya kuhesabiwa ndo imeingia



NB:WAJUZI TU WAKOMENT KEJELI NA DHARAU SITAKI KAMA HUWEZI SHAURI KAUSHA
 
Kwahivyo mkuu unadhani nimepost ili watu wajue nina vitz
Nikwambie kitu hakuna kitu nilikua nawaza kama hiki nilikua najiuliza ningepost watu wangeniattack kwamba naendesha vigari vya kike mara wanaita baby walker

Kabla ya kwenda Moshi/Kilimanjaro na hiyo unayoita gari basi ni vizuri ukaulizia mahala utakapokuwa unafanya parking la sivyo utagombana na walinzi kila mahala kwa kukuomba utoe kiberiti chako kwani kwa mwezi huo wa 12 gari zote za bei huwa zipo Moshi
 
Hiyo gari unaweza kwenda nayo sehemu yoyote kwa kadiri ya matumizi yako ndugu, kikubwa zingatia matengenezo maalumu kabla ya safari, vilainishi mahususi kwa injini ya gari lako, na gia box transmission oil iwe husika ya hiyo gari, matairi yawe imara kwa safari na kujazwa upepo kikamilifu ili kuleta uwiano mzuri wakati wa mwendo, kumbuka kupanga muda mzuri wa safari yako ili uweze kuendesha kwa usalama zaidi kwakuwa mweneyewe umekiri sio nmzoefu kwa Safari ndefu.
Kipindi hiki kina mvua kumbuka kuangalia raba za kioo chako hasa wakati wa mvua zinapo kukuta ukiwapo safarini. Epuka kuendesha kwa mashindano au kiga mwendo wa mwingine usiyemjua kwanini anaendesha hivyo umwonavyo, epuka kutumia vilevi au kutumia sigara wakati uendeshapo gari, emupa matumizi ya simu wakati wakuendesha gari hasa simu za kiofisi,kibiashara,kifamilia, na mapenzi. Mungu akubariki tukurane Marangu December.
 
Mboba Vitz nyingi zipo Iran zinasafiri kutoka Tehran hadi Shiraz umbali huo huo Dar hadi Moshi?

Hata hivyo tumejua umenunua gari (Vitz).

Hongera Black Persian!
Dah [emoji23][emoji23][emoji1544]
 
Inawezekana sana mkuu. Ila nakushauri usiende moja kwa moja bila kuipumzisha pumzisha injini
Watu manadanganyana humu ndani....Vitz ina uwezo Wa kwenda 1,000km nonstop.
Hizi habari za cjui eti alale korogwe mmezitoa wapi?
Kuna jamaa yangu alitoka na Passo cc990 straight toka Mbeya to Lindi via Songea-Masasi na akafika fresh tu.

Tatizo la JF kila mtu mjuaji.
 
Nina Vitz ya mwaka 2000 old model kwa miaka mingi sasa na nimeapa kutoiuza mpk ifie mikononi kwangu. Nina gari nyingine tatu. Kwa nini naipenda na kuiheshimu Vitz? Kwanza ni gari iko very economy kwenye mafuta (cc 990), pili ni gari ambayo spea zake ni rahisi sana kununua na pia hata kuitengeneza, tatu ni gari ngumu sana na wala haichoki kama gari ndogo nyingine, nne inaenda popote Tanzania tena bila wasiwasi wowote cha muhimu iwe nzima tu. Mtoa mada hapo Moshi tu karibu sana kwa hiyo gari tena new model ina cc kubwa nadhani ni 1200 au zaidi, Moshi unaweza kufika hata na pikipiki.

Mie Vitz uwa naendaga nayo Tanga kumuona mtoto shuleni na baada ya visiting nageuza kurudi Dar. Naitumia kwa kuwa iko economy na ndio gari nayotumia mara nyingi kwenye mizunguko ya hapa na pale mjini. Gari zingine anatumia mama na mimi siku moja moja au nikiwa nataka kurusha roho watu
 
Pikipiki inafika wew unaongea habar ya vitz, toka saa kumi usiku saa ili usiw na haraka, pia muda wa usiku engine inakuwa more efficient. Mpango mzuri wa safari unaweza kufika ata na bicycle, gari ikipata moto utaisikia miguuni, so waweza kuipumzisha kidogo. Ila ukitoka mida hiyo saa kumi uongo
 
Kama unauzoefu na safari ndefu inafika, kuna jamaa ndio safari zake na vitz , sema shida tu barabarani wengi watakuwa wanakuonea
unakuta magari yenye cc 3000 yanakukata kama umesimama ha ha ha ha ha we kila ukikanyaga mafuta kigari kinatoa moshi tu ila kuna wakurungwa wana roho ngumu utakuata wako na kanisani March kile nao wanatoboa kwenda mbeya
 
Back
Top Bottom