kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Wajuzi wa safari za masafa ya kati na marefu nijulisheni
Naweza kusafiri na vitz new model kutoka Dar hadi moshi?
Huwa nazunguka nacho tu hapa jijini tu mizunguko ya hapa na pale Sina uzoefu wa kutembea na gari kama hii masafa marefu zaidi nilishatoka tu nayo hadi Turiani morogoro
Vipi kwa moshi Kilimanjaro naweza kusafiri na hii vitz maana December ya kuhesabiwa ndo imeingia
NB:WAJUZI TU WAKOMENT KEJELI NA DHARAU SITAKI KAMA HUWEZI SHAURI KAUSHA
MREJESHO:SAFARI ILIKUA LEO ASANTENI SANA
Naweza kusafiri na vitz new model kutoka Dar hadi moshi?
Huwa nazunguka nacho tu hapa jijini tu mizunguko ya hapa na pale Sina uzoefu wa kutembea na gari kama hii masafa marefu zaidi nilishatoka tu nayo hadi Turiani morogoro
Vipi kwa moshi Kilimanjaro naweza kusafiri na hii vitz maana December ya kuhesabiwa ndo imeingia
NB:WAJUZI TU WAKOMENT KEJELI NA DHARAU SITAKI KAMA HUWEZI SHAURI KAUSHA
MREJESHO:SAFARI ILIKUA LEO ASANTENI SANA