hengo JF-Expert Member Jun 6, 2011 402 50 Jul 30, 2011 #101 Wape hai washikaji kuwa makini na mvumilivu kwa maisha mapya uendako hasa sehemu korofi.Karibu tena jamvini mara baada ya kumaliza mipango yako.
Wape hai washikaji kuwa makini na mvumilivu kwa maisha mapya uendako hasa sehemu korofi.Karibu tena jamvini mara baada ya kumaliza mipango yako.
T The Priest JF-Expert Member Dec 8, 2010 1,029 256 Oct 8, 2011 #103 Vipi umeondoa koma? maana leo nimekuona hapa jukwaani karibu sana Mentor,tulikumiss sana
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Oct 8, 2011 #104 The Priest said: Vipi umeondoa koma? maana leo nimekuona hapa jukwaani karibu sana Mentor,tulikumiss sana Click to expand... labda amerudi kutusalimia.
The Priest said: Vipi umeondoa koma? maana leo nimekuona hapa jukwaani karibu sana Mentor,tulikumiss sana Click to expand... labda amerudi kutusalimia.