rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 13,170
- 16,429
Usijaribu kuanzisha mada humu jf kama wewe si wa mrengo fulani wa kisiasa. Jf taratibu imeshamezwa na watu wa aina fulani. Majibu hutolewa kwa kuzingatia mtazamo wako kisiasa no matter what .Ndugu zangu, hii nchi yetu sijui imejengwa kwenye maadili gani? Yaani kukosekana kwa mafunzo ya jando na unyago wanawake hata wapate mwanaume wa aina gani lakini wanachepuka tu.
Una Lea ipasavyo. Unapiga mzigo ipasavyo, lakini kila siku wanaume wanalia.
Nashauri taifa liwe na mfumo wa mabikira ili mtu atakaye mbikiri ndo anakuwa mke wake. Labda ulagai utapungua kwenye mahusiano.
Ukioa mwanamke mwenye mtoto unachapiwa na mwenye mtoto n.k
Nawasilisha.
Tuonane kesho nikuambieJamani jamani mefanyaje mimiii..
Kwani nawe ni bikra bado?!
Hahahahaaaa.... Walah nimechekaMkuu jaribu kuwasiliana na daktari mwenye namba hii +254 744 454 999 ni bingwa wa afya ya akili yupo Mirembe katokea Kenya anaitwa Dr.Ojwang.
Tafuta daktar wa magonjwa ya zinaa, yameharibu kichwa yako yote..Ndugu zangu, hii nchi yetu sijui imejengwa kwenye maadili gani? Yaani kukosekana kwa mafunzo ya jando na unyago wanawake hata wapate mwanaume wa aina gani lakini wanachepuka tu.
Una Lea ipasavyo. Unapiga mzigo ipasavyo, lakini kila siku wanaume wanalia.
Nashauri taifa liwe na mfumo wa mabikira ili mtu atakaye mbikiri ndo anakuwa mke wake. Labda ulagai utapungua kwenye mahusiano.
Ukioa mwanamke mwenye mtoto unachapiwa na mwenye mtoto n.k
Nawasilisha.
Ndugu zangu, hii nchi yetu sijui imejengwa kwenye maadili gani? Yaani kukosekana kwa mafunzo ya jando na unyago wanawake hata wapate mwanaume wa aina gani lakini wanachepuka tu.
Una Lea ipasavyo. Unapiga mzigo ipasavyo, lakini kila siku wanaume wanalia.
Nashauri taifa liwe na mfumo wa mabikira ili mtu atakaye mbikiri ndo anakuwa mke wake. Labda ulagai utapungua kwenye mahusiano.
Ukioa mwanamke mwenye mtoto unachapiwa na mwenye mtoto n.k
Nawasilisha.
Ndugu zangu, hii nchi yetu sijui imejengwa kwenye maadili gani? Yaani kukosekana kwa mafunzo ya jando na unyago wanawake hata wapate mwanaume wa aina gani lakini wanachepuka tu.
Una Lea ipasavyo. Unapiga mzigo ipasavyo, lakini kila siku wanaume wanalia.
Nashauri taifa liwe na mfumo wa mabikira ili mtu atakaye mbikiri ndo anakuwa mke wake. Labda ulagai utapungua kwenye mahusiano.
Ukioa mwanamke mwenye mtoto unachapiwa na mwenye mtoto n.k
Nawasilisha.
We yako ilitolewa lini?Deo umeongea la maana sana maana waliokupinga ni wanawake waliotolewa bikira wakiwa wapo shule
Mbona umekua mkali?!We yako ilitolewa lini?
Sio mkali, ni swali tu nimeuliza.Mbona umekua mkali?!
Mh...hayaSio mkali, ni swali tu nimeuliza.
Unapotaka bikra hakikisha nawe ni bikra, unapewa wa kufanana nawe.
Mh...haya