Nawavutia na nini hawa wanawake?

Nawavutia na nini hawa wanawake?

Acha ujinga. Kama unashida ni wewe. Usidhani kila mtu anashida kama zako. Una mjua devil wewe. Kwanza wewe ndio malaya wa kwanza mtaani kweni. Acha kujifanya unajua sana uchumi wakati uko doro tu.

Kama huna cha kukoment just kunja vidole vyako. Sio kuja hapa kujifanya unajua sana devil. Hebu toka tupishe.

Ni mila na desturi zenu
 
Having first self determiantion, I will forgive u writing ua nonsense.
 
Wenzetu wanajisifu kwa maendeleo ya kiuchumi na Teknolojia wewe UNAJISIFU NA PAPUCHI, hakika unastahili kuwa CHAKULA CHA MAMBA.

Taifa liko gizani na utumwani mikonononi mwa wachache na familia zao wakineemeka, na VIJANA tunategemewa KULIKOMBOA kutoka kwa MAFEDHULI wewe UNAJISIFU NA PAPUCHI. Stop ua DEVIL MIND ASAP and come with Good strategy to RESCUE THE NATION, our LIFE, FAMILY ect.
lhaa!! Wewe hii comment peleka huko mbele kwa waganga njaa wenzio
Hapa tunataka vitu vya ukweli na siyo uongo (siasa) hiihoo
 
Acha ujinga. Kama unashida ni wewe. Usidhani kila mtu anashida kama zako. Una mjua devil wewe. Kwanza wewe ndio malaya wa kwanza mtaani kweni. Acha kujifanya unajua sana uchumi wakati uko doro tu.

Kama huna cha kukoment just kunja vidole vyako. Sio kuja hapa kujifanya unajua sana devil. Hebu toka tupishe.

Matusi yote hayo ya nini? ukweli unauma.

unajisema una hela, mtu gani mwenye hela kama wewe.
 
Yaani sasa hivi kunajamaa kanipigia simu anataka anipatie pesa nitamrudishia baada ya mwaka mmoja.
Aise sijui nizichukue. Ila jamaa anamihela!!

mkuu kwa mwendo huu utachezea boloyanki muda si mrefu
 
Back
Top Bottom